Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,482
- 9,517
Mkuu figaniga somo la kiswahili ulipata alama gani vile? Kuna tofauti kati ya L na R naomba ulifanie kazi hili
Na wewe ulipata alama gani,? ni ulifanyie sio ulifanie!
Mkuu figaniga somo la kiswahili ulipata alama gani vile? Kuna tofauti kati ya L na R naomba ulifanie kazi hili
Hakika nilitaka kuandika hivyo hivyo! Angekuwa ametumia majina yake halisi tungejua ametoa eneo lipi la tz. Lakini still we can guess... lol!makosa ya kisarufi tu hayabadilishi mantiki! mia