najua unajua lakini jua zaidi

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,483
54,845
kariakoo ndo sehemu maalufu sana dar es salaam na tanzania kwa ujumla. k/koo ndo kuna soki kuu dar es salaam na tanzania kwa ujumla. K/koo ndo centre ya biashara kwa Tanzania. Na umarufu wote wa k/koo lakini mtaa wa k/koo unao anzia kwenye makao makuu ya ccm Tanzania karibu kabisa na sehemu ilipo zaliwa Tanu pale Rumumba na kutokezea barabara ya msimbazi. Huu mtaa wa k/koo hauna rami wala kokoto, ni barabara ya vumbi iliyo jaa mashimo na uchafu wa kila aina. je walijua hilo?. Mia
 
kariakoo ndo sehemu maalufu sana dar es salaam na tanzania kwa ujumla. k/koo ndo kuna soki kuu dar es salaam na tanzania kwa ujumla. K/koo ndo centre ya biashara kwa Tanzania. Na umarufu wote wa k/koo lakini mtaa wa k/koo unao anzia kwenye makao makuu ya ccm Tanzania karibu kabisa na sehemu ilipo zaliwa Tanu pale Rumumba na kutokezea barabara ya msimbazi. Huu mtaa wa k/koo hauna rami wala kokoto, ni barabara ya vumbi iliyo jaa mashimo na uchafu wa kila aina. je walijua hilo?. Mia
Mia. Mia. Mia!

Hiyo ndo barabara ya CCM.
 
kariakoo ndo sehemu maalufu sana dar es salaam na tanzania kwa ujumla. k/koo ndo kuna soki kuu dar es salaam na tanzania kwa ujumla. K/koo ndo centre ya biashara kwa Tanzania. Na umarufu wote wa k/koo lakini mtaa wa k/koo unao anzia kwenye makao makuu ya ccm Tanzania karibu kabisa na sehemu ilipo zaliwa Tanu pale Rumumba na kutokezea barabara ya msimbazi. Huu mtaa wa k/koo hauna rami wala kokoto, ni barabara ya vumbi iliyo jaa mashimo na uchafu wa kila aina. je walijua hilo?. Mia

Ok! OK!
 
Mkuu figaniga somo la kiswahili ulipata alama gani vile? Kuna tofauti kati ya L na R naomba ulifanie kazi hili
 
Ukitaja magamba mood ya kuchangia inakwisha SICHANGIIIIII

Kama baada ya miaka 50 Magamba hawajaweza hata kuweka lami kwenye barabara ilipozaliwa TANU je kuna utata upi tukisema upeo wao umeshindwa kuleta maendeleo? Tafakari jinsi uchumi unavyodorora katikati ya rasilimali lukuki!!!
 
kariakoo ndo sehemu maarufu sana dar es salaam na tanzania kwa ujumla. k/koo ndo kuna soko kuu dar es salaam na tanzania kwa ujumla. K/koo ndo centre ya biashara kwa Tanzania. Na umarufu wote wa k/koo lakini mtaa wa k/koo unao anzia kwenye makao makuu ya ccm Tanzania karibu kabisa na sehemu ilipo zaliwa Tanu pale Lumumba na kutokezea barabara ya msimbazi. Huu mtaa wa k/koo hauna lami wala kokoto, ni barabara ya vumbi iliyo jaa mashimo na uchafu wa kila aina. je walijua hilo?. Mia
 
Mkuu figaniga somo la kiswahili ulipata alama gani vile? Kuna tofauti kati ya L na R naomba ulifanie kazi hili
mkuu mimi sikusoma kiswahili kabisa. mi nimekaa falklands sana. so najifunza kiswahili. je wapi nmekosea tena?. mia
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom