Madikizela
JF-Expert Member
- Jul 4, 2009
- 675
- 439
Hivi karibuni kumekuwa na tishio la mgomo mwingine wa madaktari wakishinikiza kuanza mgomo mwingine, Mgomo wa kwanza ulisababisha vifo vingi tu vya ndugu zetu watanzania wenzetu waliokatwa kodi zao ili madaktari hao wasome kwa furaha. kitendo wanachofanya madaktari hawa ni cha kinyama, cha kiuaji na uhaini wa hali juu. Endapo madaktari hawa watatimiza azma yao hii nawaomba JF wenzangu wenye nia njema na nchi kuandaa mashtaka dhidi ya madaktari hawa na wote wengine wanaosababisha haya katika mahakama za kimataifa.
Wanasahau kuwa kodi zetu ndizo zilizowasomesha na hao stakeholders wengine wanasahau kuwa kodi zetu ndizo zinawapeleka wao India kutibiwa.:embarassed2:
TUMECHOKA!!!!![/PHP]
Wanasahau kuwa kodi zetu ndizo zilizowasomesha na hao stakeholders wengine wanasahau kuwa kodi zetu ndizo zinawapeleka wao India kutibiwa.:embarassed2:
TUMECHOKA!!!!![/PHP]