Najiaandaa kuwashtaki madakitari kwenye mahakama za kimatafa

Kwanini kumshinikiza Rais kuwafukuza kazi wateule wake?

Hamuoni mnaingiza siasa kwenye taaluma na pia mnavunja katiba ya nchi?

Ma Dr wamejaa kiburi, ubinafsi, tamaa ya kujaza matumbo yao kwa gharama yeyote hata kama itabidi watu mamia kufa.

Tunawashangaa, haijawahi kutokea mahali pengine. Bora msivae hayo majoho yenu mitaani, tunaweza kushindwa kujizuia kuwapopoa mawe.

Tut....tut...tut....hivi hujui tuna wabunge? Mbona hujawasema?
 
Tatizo letu ni Siasa kila kitu....

Kubishana na mwisho wa siku ukishinda unaona ndio mafanikio bila ya kujali Mantiki na hili ndio tatizo letu watanzania ushindani wa kijinga usio na tija....

Serikali ikiwatekelezea matakwa Yao magazeti Nayo yataandika JK au Serikali yafwata Mkia kwa madokta yaridhia matakwa Yao ... Basi ili mradi tu mvutano usio na maana.

Kwakua hili linatokea katika serikali ya JK ambayo wengi wetu tunajitanabaisha wanaharakati na wenye nia mzuri na nchi hii kwa kumtukana na kumkashifu bila ya kujiangalia ss kwanza are we right?

Nasema ushindani wa kijinga Kwani nimeshasema Mara nyingi humu kwenye JF wengi wetu tunamapenzi ya kupitiliza kwa vyama au Mtu na kusahau hata kureason na sometimes we can not even see the obvious!

Nilishawahi kusema huu nao ni Ujinga!

Let's be objective oriented badala ya kushabikia tu kila kitu...
Kila Mtu ni muhimu kwa mahali alipo na jinsi alivyo, sasa Kama tunadhani Ma Dr ni muhimu kuliko watu wengine hili ni Kosa na kutumia fursa ya taaluma Yao either kutumika au kutumiwa kuipa shinikizo serikali ni ujinga sana..

Kila Mtu ni muhimu hawawezi kuipangia serikali kiwango wanachotaka wao kisa tu ni Ma dr...

Kuna watu Kama police , Jeshi nao pia ni muhimu na pia wakitaka nao walipwe mapesa hayo na Risk allowance nao si Itakua balaa...
Kwanza ulinzi usipo kua mzuri watatibu nn? Watatumia wapi hayo mapesa wanayolilia kuongezewa kwahiyo kila Mtu muhimu Na Yuko kwenye Risks Kama Ma dr.

Hoja ya kutaka Mponda na Nkya waondoke imekaa kisiasa Zaidi kuliko Mantiki ..
Kwahiyo wakiondolewa hao ndio nini?

Ndio hii Tabia ya kuenda ofisini unaulizia Mtu badala ya Service ujinga mkubwa huu, kutaka Mponda na Nkya kuondoka Kwao iwe Kama ndio Main agenda wametuonyesha lie dhana ya Penda bila mipaka na sababu za msingi.

Tujue nini tunataka jamani na kila fani ni muhimu I mean interdependence ....
Tunategemeana sana their Drs simple because there will be patients and vice versa..... Hata mwanasheria nae muhimu ktk nchi hii , mkulima nae muhimu , housegirl nae ni muhimu ukimzoea.....


Kila Mtu ni muhimu waache ujinga wao watibu watu walichagua kua Ma Dr kwahiyo tusidharauliane kwa taaluma.
 
Naunga mkono. Hawa ma-dr wauaji wa watu wasio na hatia budi wawajibishwe kwa matendo yao.

Waliua ktk mgomo wa mwanzo, hawakuridhika. Sasa wanadai tujikamue kila kitu ili tuwalipe mishahara ya mamilioni.

Kama itashindikana kuwafungulia mashtaka basi, tutaangalia namna ya kuwashughulikia humu humu mitaani. IMETOSHA KUUA WATU WASIO NA HATIA KWA AJILI YA ULAFI WA FEDHA.

HEBU JARIBU UONE KITAKACHOKUTOKEA! Unadhani mwananchi wa kawaida ananufaika na pesa zake za kodi mnazozitumia hovyo hovyo? Mnadhani nchi hii ni ya kwenu peke yenu??
 
Jamani hebu tutafakari haya mambo kwa kina: Assume wewe ni Mponda au Nkya, then watu unaowaongoza wamesema hawakutaki na wameamua kigoma ili kushinikiza hoja yao, hivi wewe utakuwa na furaha gani kung'ang'ania hayo madaraka?? Utawezaje kutekeleza majukumu yako ikiwa hutapata ushirikiano na unowaongoza? Ki ukweli haikutakiwa wamsubiri rais awatoe!! hii nchi ina viongozi wa ajabu sana!! Mbona akina mwinyi walijiuzulu huko nyuma jamani? hivi wao wana kipi cha ajabu wao kujiuzulu??
Haki ya madktari hapo ni ipi jamani embu tupunguze siasa. Kwani kazi yao ni kupangia serikali na abaki na nani atoke??? Je ni kwasababu ya unyeti wa huduma yao ndio wanafanya kuota mapembe?? Au sapoti walioipata kutoka kwa wananchi mwanzo wanafikiri itajirudi, watambue mwanzo tuliona serikali ilikuwa na makosa lakini kwa hili sasa naona wanachezesha shilingi zao tunduni mwa choo.
 
Wana haki ya kusababisha mauaji ya ndugu zao!! GREAT THINKER HATUKANI NA HAOGOPI MATUSI!!!
 
Tatizo letu ni Siasa kila kitu....

Kubishana na mwisho wa siku ukishinda unaona ndio mafanikio bila ya kujali Mantiki na hili ndio tatizo letu watanzania ushindani wa kijinga usio na tija....

Serikali ikiwatekelezea matakwa Yao magazeti Nayo yataandika JK au Serikali yafwata Mkia kwa madokta yaridhia matakwa Yao ... Basi ili mradi tu mvutano usio na maana.

Kwakua hili linatokea katika serikali ya JK ambayo wengi wetu tunajitanabaisha wanaharakati na wenye nia mzuri na nchi hii kwa kumtukana na kumkashifu bila ya kujiangalia ss kwanza are we right?

Nasema ushindani wa kijinga Kwani nimeshasema Mara nyingi humu kwenye JF wengi wetu tunamapenzi ya kupitiliza kwa vyama au Mtu na kusahau hata kureason na sometimes we can not even see the obvious!

Nilishawahi kusema huu nao ni Ujinga!

Let's be objective oriented badala ya kushabikia tu kila kitu...
Kila Mtu ni muhimu kwa mahali alipo na jinsi alivyo, sasa Kama tunadhani Ma Dr ni muhimu kuliko watu wengine hili ni Kosa na kutumia fursa ya taaluma Yao either kutumika au kutumiwa kuipa shinikizo serikali ni ujinga sana..

Kila Mtu ni muhimu hawawezi kuipangia serikali kiwango wanachotaka wao kisa tu ni Ma dr...

Kuna watu Kama police , Jeshi nao pia ni muhimu na pia wakitaka nao walipwe mapesa hayo na Risk allowance nao si Itakua balaa...
Kwanza ulinzi usipo kua mzuri watatibu nn? Watatumia wapi hayo mapesa wanayolilia kuongezewa kwahiyo kila Mtu muhimu Na Yuko kwenye Risks Kama Ma dr.

Hoja ya kutaka Mponda na Nkya waondoke imekaa kisiasa Zaidi kuliko Mantiki ..
Kwahiyo wakiondolewa hao ndio nini?

Ndio hii Tabia ya kuenda ofisini unaulizia Mtu badala ya Service ujinga mkubwa huu, kutaka Mponda na Nkya kuondoka Kwao iwe Kama ndio Main agenda wametuonyesha lie dhana ya Penda bila mipaka na sababu za msingi.

Tujue nini tunataka jamani na kila fani ni muhimu I mean interdependence ....
Tunategemeana sana their Drs simple because there will be patients and vice versa..... Hata mwanasheria nae muhimu ktk nchi hii , mkulima nae muhimu , housegirl nae ni muhimu ukimzoea.....


Kila Mtu ni muhimu waache ujinga wao watibu watu walichagua kua Ma Dr kwahiyo tusidharauliane kwa taaluma.
You're right mkuu,................ umemaliza kila kitu
 
Hivi karibuni kumekuwa na tishio la mgomo mwingine wa madaktari wakishinikiza kuanza mgomo mwingine, Mgomo wa kwanza ulisababisha vifo vingi tu vya ndugu zetu watanzania wenzetu waliokatwa kodi zao ili madaktari hao wasome kwa furaha. kitendo wanachofanya madaktari hawa ni cha kinyama, cha kiuaji na uhaini wa hali juu. Endapo madaktari hawa watatimiza azma yao hii nawaomba JF wenzangu wenye nia njema na nchi kuandaa mashtaka dhidi ya madaktari hawa na wote wengine wanaosababisha haya katika mahakama za kimataifa.

Wanasahau kuwa kodi zetu ndizo zilizowasomesha na hao stakeholders wengine wanasahau kuwa kodi zetu ndizo zinawapeleka wao India kutibiwa.
:embarassed2:

TUMECHOKA!!!!!
[/PHP]

watu wagumu kuelewa na kuchanganua mambo kwa kina.kwa namna hii kweli halafu tunataka maendeleo tukiwa na watu kama wewe tutayapata kweli?
 
Hakuna haki ya madaktari hapa ni upumbavu wanafanya Hebu fuatilieni kisa cha mgomo wa wafanyakazi poland kwa umakini mtagundua kinachoendelea nyuma ya pazia na ni lazima muelewe kuwa kuna watu nyuma ya pazia wanaochochea haya ili wabadilishe nchi na kuifanya serikali ionekane tatizo kwa manufaa yao ya kuifanya dunia kijiji na kuwa inautaratibu mmoja.
 
Back
Top Bottom