Na wewe ulitakiwa uende ukaPASUE VYURA Lab ila ukaona usome Abushiri na ukienda shule msaafi!!!!!
Wenzio wanapasua sana Usaha na kutoa funza kwa wingi. Kusafisha vidonda na kufiwa na watu ni kawaida.
Mwisho kumbuka kuwa, hao watu dunia nzima wanatafutwa. Usipowajali, wataenda Botswana.
Wewe ni kama mimi tu, tubaki na hizi degree zetu za HGL sijui? Tunavuna tulichopanda kukimbia Sayansi.
PUMBAVU zenu ninyi ma dokta, this time wananchi tutakula sahani moja na ninyi, kama unakatwa kodi kiasi hicho unalipwa sh ngapi? na bado unaacha watu wafe kwa ulafi wa matumbo yenu.kodi zangu miye zinafanya nini?au miye sikatwi kodi??tunakatwa almost laki 3 kwa mwezi so usiseme kodi yako ndo imenisomesha...kwanini usiishitaki serikali yako inayotoa ahadi za uongo?
Kwanini kumshinikiza Rais kuwafukuza kazi wateule wake?
Hamuoni mnaingiza siasa kwenye taaluma na pia mnavunja katiba ya nchi?
Ma Dr wamejaa kiburi, ubinafsi, tamaa ya kujaza matumbo yao kwa gharama yeyote hata kama itabidi watu mamia kufa.
Tunawashangaa, haijawahi kutokea mahali pengine. Bora msivae hayo majoho yenu mitaani, tunaweza kushindwa kujizuia kuwapopoa mawe.
pumbavu zenu ninyi ma dokta, this time wananchi tutakula sahani moja na ninyi, kama unakatwa kodi kiasi hicho unalipwa sh ngapi? Na bado unaacha watu wafe kwa ulafi wa matumbo yenu.
Hamuwezi kutumia thamana ya uhai wetu kwa kudai madai ya uroho wa nafsi zenu, hivi mnafikiri nchi hii ni ninyi tu ndio mnamazingira mabovu ya kazi na mishahara duni, au mnadhani ninyi ndio muhimu sana kuliko wengine?
Mgomo uliopita nimepoteza mtoto wa kaka yangu my be this time could be me or my wife na mshahara wangu haufikii hata kodi unayokatwa
nasema nitakuwa wakwanza kushika panga na kukatakata drs pindi mambo yakiharibika, mwanzoni nilidhani mnamadai ya msingi lakini sasa naona mnaanza kucheza na ngoma ya siasa ndani yake na kusahau mnadhamana ya kusimamia afya zetu,
chamuhimu ni serikali kutekeleza madai yenu ya msingi na si kukomalia mambo ya kiasa kwa kum command rais afukuze wateule wake eti kwasababu drs wamesema
shame on you drs
WanaCCM ndo wana sifa ulizotaja na wala si madaktari mkuu.
Mkuu kodi kwenye mshahara laki3?? Maana yake mshahara wako unanafuu kidogo maana yake siyo chini ya 2.0 Mil.
kwa mwezi, Hali yako hujambo, mwenzio na ka-digrii kangu kamoja napata hiyo laki-3.
Madaktari wakigoma tena, ndugu zetu pamoja na wajumbe wengine humu watakufa bila matibabu, huu ni Unyama
mkubwa ambao serikali na madaktari watakuwa wameufanya...ni Kweli wanstahili kufikishwa The Hegue, Viongozi wa ma-dr, waziri Mponda&Nkya, LAZIMA WAFIKISHWE HUKO KWA MATENDO YAO AMBAYO NI KINYUME NA HAKI KUU
YA BINADAMU YA KUISHI.
PUMBAVU zenu ninyi ma dokta, this time wananchi tutakula sahani moja na ninyi, kama unakatwa kodi kiasi hicho unalipwa sh ngapi? na bado unaacha watu wafe kwa ulafi wa matumbo yenu.
Hamuwezi kutumia thamana ya uhai wetu kwa kudai madai ya uroho wa nafsi zenu, hivi mnafikiri nchi hii ni ninyi tu ndio mnamazingira mabovu ya kazi na mishahara duni, au mnadhani ninyi ndio muhimu sana kuliko wengine?
Mgomo uliopita nimepoteza mtoto wa kaka yangu my be this time could be me or my wife na mshahara wangu haufikii hata kodi unayokatwa
Nasema nitakuwa wakwanza kushika panga na kukatakata DRs pindi mambo yakiharibika, mwanzoni nilidhani mnamadai ya msingi lakini sasa naona mnaanza kucheza na ngoma ya siasa ndani yake na kusahau mnadhamana ya kusimamia afya zetu,
Chamuhimu ni serikali kutekeleza madai yenu ya msingi na si kukomalia mambo ya kiasa kwa kum command rais afukuze wateule wake eti kwasababu DRs wamesema
SHAME ON YOU DRs
Too low........................... hoja hujibiwa kwa hoja, acha uvivu wa kufikiriNosense..... Maku @ work..
Kwa hiyo wewe na wenzako mtawafanya nini in case wanagoma?
Naunga mkono. Hawa ma-dr wauaji wa watu wasio na hatia budi wawajibishwe kwa matendo yao.
Waliua ktk mgomo wa mwanzo, hawakuridhika. Sasa wanadai tujikamue kila kitu ili tuwalipe mishahara ya mamilioni.
Kama itashindikana kuwafungulia mashtaka basi, tutaangalia namna ya kuwashughulikia humu humu mitaani. IMETOSHA KUUA WATU WASIO NA HATIA KWA AJILI YA ULAFI WA FEDHA.
Naomba kujua madai specific ya madaktari....maana kila nikiamka nakutana na jipya...mwanzo mshahara na posho...baadae vifaa na huduma za bure kwa wagonjwa....mwisho posho ya Nyumba.....sasa tena Dr.Mponda na Lucy Nkya.
Ni yapi matokeo positive baada ya kujiuzulu kwao?
Je kama wakijiuzulu na mambo yakabaki hivi hivi mtarudi kutibu au mtaendelea kucheza na roho zetu?