Hapana hata km huo ni zaidi ya unyanyasaji wewe masaa yote hayo ungekua wewe ungekubari ufanye alafu upewe alafutatu na mia tatu kweli ungekubari?Ww una kazi ndio maana unaweza kusema hivyo, maisha yapo tofauti sana
Asingekubali...Hapana hata km huo ni zaidi ya unyanyasaji wewe masaa yote hayo ungekua wewe ungekubari ufanye alafu upewe alafutatu na mia tatu kweli ungekubari?
Tatizo la ajira linasababisha unyonyaji..
Hii nchi inatakiwa kuwe na utaratibu wa kisheria wa malipo kwa wafanyakazi wa watu binafsi. ..
Nabakia kwa kweli...Bakia huko huko
Hapana tatizo sio kazi tatizo ni malipo na muda anaoutumia kuifanya hio kazi havilingani, huo ni zaidi ya utumwa hata arabuni hawafanyi hivyi, we mwarabu au?Sasa kama kazi anayokuja kufanya Mapato yake ni elf 70 so nimlipe yy laki mbili for what?
🤣🤣Hapana tatizo sio kazi tatizo ni malipo na muda anaoutumia kuifanya hio kazi havilingani, huo ni zaidi ya utumwa hata arabuni hawafanyi hivyi, we mwarabu au?
Jiandae kupigwaNaitaji kijana wa kike au kiume ambae amemaliza form 4 na anaweza kufanya kazi ya kusimamia mauzo na manunuzi ya vitu kwenye restaurant
Kazi yake kubwa itakuwa ni kufunga hesabu za siku,
kujua maitaji ya vitu vinavyoitajika
Kwenda kununua hivyo vitu
Na kusimamia mauzo
Kazi ni kuanzia saa 1 asubuhi hadi saa tano usiku
Chakula free
Akiwa anakaa Kigamboni itakuwa safi zaidi
Salary LAKI MOJA
ALie tayari DM
Muda huo ni mrefu kwa binadamu kumudu...Sasa wenzako hawana kwa kubakia kama ww
Hapana huo ni zaidi ya utumwa, 17hrs kwa laki 1 per month n per day 3,300, jitafakari tena mkuuWatu wanafanya tena wengi sana
Mkuu jitafakari, mi yangu ni hayo tu sina mengiKijana wa kazi wa nyumbani kwako unamlipa sh ngapi? Analala saa ngapi? Anaamka saa ngapi? Anafanya kazi ngapi? Masaa mangapi?