SnowBall
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,054
- 2,840
Hii thread ngumu aisee..
But mimi ningekuwa ndo wewe ninge'onja' sumu kwa kuilamba..
I mean ningeishi na mtu kwa kusikiliza HISIA zangu kuliko za wanakijiji..
Mfanye na yeye ajue kwamba hamuendani..sio wewe ndio ujue tu hakufai..kisha from there mtadiscuss the way forward..
But mimi ningekuwa ndo wewe ninge'onja' sumu kwa kuilamba..
I mean ningeishi na mtu kwa kusikiliza HISIA zangu kuliko za wanakijiji..
Mfanye na yeye ajue kwamba hamuendani..sio wewe ndio ujue tu hakufai..kisha from there mtadiscuss the way forward..