The Only Kilo
JF-Expert Member
- Jul 16, 2010
- 352
- 83
ushauri ni kwamba kama kweli unahisi hutaweza tena maisha yako yote kumpenda kwa dhati muite na kisha mwambie ukweli ulivyo na mpe uhuru wa kumake comment then fanyeni maamuzi ya kishujaa kama vile kutengana kijasiri bila kuona jamii inayowazunguka itawonaje maana wakati mwingine ukiogopa sana wanadamu utabaki wewe ndo unaye sumbuka kila leo angali wao wakilala na kuamka na mapenzi moto moto ili hali yakwako yamepoa kama barafu.