The Spit
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 473
- 243
Mkuu sorry sikukuelewa vizuri kwenye post ya awali.Apologies for that turudi kwenye hoja. Watu sasa hivi hawataki kujadili kilichotokea kule zanzibar wanaleta propaganda za misaada hapa wakati Kila kitu kiko wazi. Huwezi ukashiriki uchaguzi mwenyewe ukashinda kwa asilimia 99 na bado utake kuaminisha watu unastahili kupata msaada ambao masharti yake yako wazi ni utawala bora na uchaguzi wa kidemokrasia.Maghufuli and his CCM has messed up themselves deliberately,,,they have to clean there mess not dragging everyone int itMkuu hapa tunazungumzia suala kuwa mzalendo. Binafsi siwezi kujifanya mimi ni mzalendo kukumbatia ubakaji wa demokrasia kule zanzibar. Ni hao mashoga wa UVCCM ndio waliobaka demokrasia Zanzibar halafu wao wanakimbilia Mombasa pindipo mambo yakichafuka kule! Lakini naona mkuu wewe unajaribu kuwatetea ! Jee kulikoni isije ikawa nawe ni mmoja wao...
Sent from my SM-G920W8 using JamiiForums mobile app