Jilanga
JF-Expert Member
- Feb 13, 2011
- 255
- 40
Kwa mara ya kwanza kuwapongeza HESLB kwa kutuingizia hela ya field hata wale ambao hawakuwa na field! Nasema hivyo kwa sababu first year wanaofanya kozi nyingine tofauti na Education imekuwa magumashi kupewa hela ya field mpaka mwaka wa pili, Ila mwaka huu wamegutuka wakati watu wapo mahome kwao kwa kukata tamaa ya kufanya field bila hela.
Lakini kwani walikuwa hawatupatii na hali wanatukopesha? TANZANIA BILA MAANDAMANO INAWEZEKANA?
Nawakilisha!
Lakini kwani walikuwa hawatupatii na hali wanatukopesha? TANZANIA BILA MAANDAMANO INAWEZEKANA?
Nawakilisha!