Uchambuzi uliofanywa umemwacha uchi Mhe Lema na chama chake. Mengi katika hotuba ya Lema yalikuwa ni off-point, anafanya nukuu zisizohusiana na mada, anatoa mifano isiyolandana na hoja na kwa kifupi ile hotuba ilikuwa ni crap.
Cha kujiuliza:
1. Wanaojifanya kuwa marafiki zake ktk serikali kivuli ya CDM wamemponza kwa makusudi na kumwacha awasilishe zile takataka?
2. CDM Wamemchoka kutokana na elimu yake duni hadi kumwacha atoe hadharani ule upuuzi?
3. Huyu Lema ndiye anatarajiwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani pale ndoto za CDM zitakapotimia za kukamata dola. Je, ipo siku tz itakuwa na waziri kilaza/mbumbumbu kama huyu?...hafai hata kupewa u-Katibu Kata.....
Wana Arusha, mlimpa kura na sasa mmeumia.....imekula kwenu.....ni miaka mitano ya maumivu.
'A LITTLE LEARNING IN DEED MAY BE DANGEROUS'.....imenukuliwa na Naibu Waziri Mambo ya Ndani.
Uchambuzi uliofanywa umemwacha uchi Mhe Lema na chama chake. Mengi katika hotuba ya Lema yalikuwa ni off-point, anafanya nukuu zisizohusiana na mada, anatoa mifano isiyolandana na hoja na kwa kifupi ile hotuba ilikuwa ni crap.
Cha kujiuliza:
1. Wanaojifanya kuwa marafiki zake ktk serikali kivuli ya CDM wamemponza kwa makusudi na kumwacha awasilishe zile takataka?
2. CDM Wamemchoka kutokana na elimu yake duni hadi kumwacha atoe hadharani ule upuuzi?
3. Huyu Lema ndiye anatarajiwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani pale ndoto za CDM zitakapotimia za kukamata dola. Je, ipo siku tz itakuwa na waziri kilaza/mbumbumbu kama huyu?...hafai hata kupewa u-Katibu Kata.....
Wana Arusha, mlimpa kura na sasa mmeumia.....imekula kwenu.....ni miaka mitano ya maumivu.
'A LITTLE LEARNING IN DEED MAY BE DANGEROUS'.....imenukuliwa na Naibu Waziri Mambo ya Ndani.
hawezi ..ngoja tuone kama atarudi tenaUnaweza kutoa a substantive detailed analysis - hata in point form- badala ya kuleta wholesale allegations?
.
Rais Mwinyi alikuwa na elimu gani? Bwana Lyatonga Mrema alikuwa na elimu gani?