Naibu waziri wa mambo ya ndani na hotuba ya kambi ya upizani

Mtoa mada nadhani una Tatizo ama una upeo mdogo sana wa mambo ya Siasa, hasa za upinzani, kwa kifupi kilichozungumzwa na Lema sio chake pekeyake bali ni cha Chadema nzima, ni msimamo wa Chama na kama unakosoa basi kosoa Chadema na wala sio kumfuata mtu binafsi

Kama usingekuwa msimamo wa Chadema basi ingekuwa kamaile issue ya J Shibuda ya kuandikiwa barua ya kujieleza

Nasita kuamini kuwa ilikuwa ya CDM ninayoijua yenye akina Zitto, Mnyika Slaa etc.
Any way, kama ni kweli kuwa ni ya CDM....Chama Kikuu cha Upinzani....basi, Tz tumekwisha!
 
Uchambuzi uliofanywa umemwacha uchi Mhe Lema na chama chake. Mengi katika hotuba ya Lema yalikuwa ni off-point, anafanya nukuu zisizohusiana na mada, anatoa mifano isiyolandana na hoja na kwa kifupi ile hotuba ilikuwa ni crap.

Cha kujiuliza:
1. Wanaojifanya kuwa marafiki zake ktk serikali kivuli ya CDM wamemponza kwa makusudi na kumwacha awasilishe zile takataka?
2. CDM Wamemchoka kutokana na elimu yake duni hadi kumwacha atoe hadharani ule upuuzi?
3. Huyu Lema ndiye anatarajiwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani pale ndoto za CDM zitakapotimia za kukamata dola. Je, ipo siku tz itakuwa na waziri kilaza/mbumbumbu kama huyu?...hafai hata kupewa u-Katibu Kata.....

Wana Arusha, mlimpa kura na sasa mmeumia.....imekula kwenu.....ni miaka mitano ya maumivu.

'A LITTLE LEARNING IN DEED MAY BE DANGEROUS'.....imenukuliwa na Naibu Waziri Mambo ya Ndani.
Ile bajeti ya msomi Ngeleja imekaaje kwako..?? Lukuvi waziri....ni darasa la ngapi...??
 
Sijui, ila hata mimi nimeimindi ile budget aliyosoma Lema......imagine yeye ndio angekuwa waziri wa mambo ya ndani ya ukweli, halafu budget anayoipresent ndio ile......kuna kitu kweli pale?
<br />
<br />
Tatizo ulitaka aisifie serikali sababu Mh Lema yupo sawa ila kama imekushika pole
 
Wasome report ya ya mwaka 2010 iliyotoka mwaka huu ya Legal and Human Rights ndio watajua kama Lema ni mwongo au wao!!! Legal And Human Rights Center angalia reports kwenye panel ya documentation centre.


 
Last edited by a moderator:
Lema amenyesha Hisia kali na ameongea Ki-Falsafa!
Nikiwa Chancellor wa Mkweche University anastahili PhD kama ya Lyatonga!
Kama hajaandaliwa basi lema ni Kichwa!
 
..kinachopaswa kufanyika ni kuchukua hatua kurekebisha kasoro[ukatili wa polisi,rushwa ktk mahakama,...] alizibainisha Mh.Godbless Lema.

..vyombo vya ulinzi na usalama vingekuwa vinafanya kazi kwa haki na uadilifu Lema asingeweza kutoa lawama kama zile.

..serikali ikiacha hali iendelee namna hii wananchi wataanza kukubaliana na yale aliyoyatamka Mh.Lema.
 
Uchambuzi uliofanywa umemwacha uchi Mhe Lema na chama chake. Mengi katika hotuba ya Lema yalikuwa ni off-point, anafanya nukuu zisizohusiana na mada, anatoa mifano isiyolandana na hoja na kwa kifupi ile hotuba ilikuwa ni crap.

Cha kujiuliza:
1. Wanaojifanya kuwa marafiki zake ktk serikali kivuli ya CDM wamemponza kwa makusudi na kumwacha awasilishe zile takataka?
2. CDM Wamemchoka kutokana na elimu yake duni hadi kumwacha atoe hadharani ule upuuzi?
3. Huyu Lema ndiye anatarajiwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani pale ndoto za CDM zitakapotimia za kukamata dola. Je, ipo siku tz itakuwa na waziri kilaza/mbumbumbu kama huyu?...hafai hata kupewa u-Katibu Kata.....

Wana Arusha, mlimpa kura na sasa mmeumia.....imekula kwenu.....ni miaka mitano ya maumivu.

'A LITTLE LEARNING IN DEED MAY BE DANGEROUS'.....imenukuliwa na Naibu Waziri Mambo ya Ndani.

Mimi ni mmoja wa wana Arusha niliyempa kura Mh.Lema, Tunafurahishwa na kazi yake bungeni, Hotuba yake nimeisoma yote na kazungumza ukweli na katetea haki ya wanyonge. Inshort Lema anafanya kazi tuliyomtuma sasa sijui wewe unazungumzia nini while sisi wana Arusha tumempa baraka zote na tunaridhishwa na utendaji kazi wake.
Ni heri mbunge wangu anayetolewa bungeni kwa kosa la kutetea wananchi wa tabaka la chini kuliko mbunge anayelala bungeni au anayeitikia NDIYOOO kumfurahisha LUKUVI bungeni.
 
Mimi ni mmoja wa wana Arusha niliyempa kura Mh.Lema, Tunafurahishwa na kazi yake bungeni, Hotuba yake nimeisoma yote na kazungumza ukweli na katetea haki ya wanyonge. Inshort Lema anafanya kazi tuliyomtuma sasa sijui wewe unazungumzia nini while sisi wana Arusha tumempa baraka zote na tunaridhishwa na utendaji kazi wake.
Ni heri mbunge wangu anayetolewa bungeni kwa kosa la kutetea wananchi wa tabaka la chini kuliko mbunge anayelala bungeni au anayeitikia NDIYOOO kumfurahisha LUKUVI bungeni.

Acha kujivika uwakilishi. Unamsemea nani wewe? Hujatumwa kuwazungumzia watu wa Arusha. Wengi wanasikitika na upuuzi unaofanywa na mtu waliyempa kura zao, hawakumtuma Lema akawaaibishe mbele ya macho ya Wa tz na dunia. Ni aibu tupu....inashangaza unaitetea.
 
Huyo naibu waziri anazoita pumba kwa watu wenye dhiki kama Tanzania watamuhukumu yeye na chama chake muda ukifika. Usifikiri watu wote hata kama ni CCM wanakaa Masaki au OysterBay, watu wangapi wamekufa kwa ajili ya ujinga wa Polisi, wangapi watu wasio na hatia wako ndani magereza na watu wangapi wamefukiwa na vifusi na kuuwawa kabisa unaowafahamu?????????? Watu wangapi wezi wa fedha lukuki za uma wapo mitaani tu wanapeta????????? Wewe ngoja hukumu ya wananchi itakaposhuka kama Misri na sasa Libya, utaniambia ni pumba za nani bora waziri au Mh Lema????????????
 
kishongo tuoneshe hizo pumba na sisi tufahamu upupu wa cdm, ukifanya hayo kesho naenda kuchukua kadi ya ccm
 
Sasa kama umeletewa pumba na unatakiwa uichambue...inabidi tu kuichambua kuona kama kuna hata chembe ya mchele uliojipitisha. Ndiyo maana Naibu Waziri amepata kazi kweli kweli ya kuchambua pumba za Lema. Alijitahidi kusaka chembechembe zozote za maana mle ndani.

Ukitaka kuichambua upate kitu kingine kisicho pumba, hiyo si pumba.

La kama unajua hii pumba na unataka kuichambua zaidi utatupa mashaka na sanity yako.

Katika kiswahili, kuchambua ni kuweka pembeni kimoja kutoka kingine, pumba hii utakayoichambua kama ina thamani ya Naibu Waziri kutumia muda wake kuichambulika si pumba hivyo basi.
 
Naibu waziri ameshindwa kutafautisha kati ya inciting violence na kuitisha mandamano ambayo ni haki msingi kwenye democracy.
 
Shame.kwa mara nyingine tena serikal imelazimika kucheza na kuimba muzik wa wapinzan. Wazir mdog na mkubwa wote hawakujibu japo kidogo hotub ya kamat wal ya wabunge badal yake wametumia dakika 65 kurespond maissue ya chadema. Another trap!
 
Mimi ni mmoja wa wana Arusha niliyempa kura Mh.Lema, Tunafurahishwa na kazi yake bungeni, Hotuba yake nimeisoma yote na kazungumza ukweli na katetea haki ya wanyonge. Inshort Lema anafanya kazi tuliyomtuma sasa sijui wewe unazungumzia nini while sisi wana Arusha tumempa baraka zote na tunaridhishwa na utendaji kazi wake.
Ni heri mbunge wangu anayetolewa bungeni kwa kosa la kutetea wananchi wa tabaka la chini kuliko mbunge anayelala bungeni au anayeitikia NDIYOOO kumfurahisha LUKUVI bungeni.
Ndg yangu Daudi huyo jamaa (mla kwa Mghamba) pamoja na kina Luvi hukumu yao iko njiani, kama si maandamano basi jibu litakuwepo kwenye kura tujue nani mwenye pumba, mwenye jeuri ya Dola au anaye tetea wanyonge Lema??????????
 
Uchambuzi uliofanywa umemwacha uchi Mhe Lema na chama chake. Mengi katika hotuba ya Lema yalikuwa ni off-point, anafanya nukuu zisizohusiana na mada, anatoa mifano isiyolandana na hoja na kwa kifupi ile hotuba ilikuwa ni crap. (Kishongo)

Nakuarifu kuwa Naibu Waziri wako na wewe ndiyo mmeachwa UCHI kwa wananchi. Mapambano ya binadamu hayana Umarekani na wala Utanzania. Mapambano ni dhidi ya dhulma, ubadhilifu na ufisadi ambazo ndizo sera na mikakati ya CCM. Mmekuwa madarakani miaka 50 mlichokifanya ni sawa na madikteta wengine wa muda mrefu duniani. Na kwa maoni ya baadhi yetu TUMEWACHOKA.

Cha kujiuliza:
1. Wanaojifanya kuwa marafiki zake ktk serikali kivuli ya CDM wamemponza kwa makusudi na kumwacha awasilishe zile takataka?(Kishongo)

Aliwasilisha kwa niaba ya kambi rasmi ya upinzani na zaidi kwa niaba yetu wadanganyika na walala hoi. Kuna takataka zaidi ya zinavyofanywa na wabunge wa CCM na upuuzi uliouandika hapa?

2. CDM Wamemchoka kutokana na elimu yake duni hadi kumwacha atoe hadharani ule upuuzi?(Kishongo)

Wewe ni CDM ipi uliyemchoka? Kati ya elimu ambayo hamnayo ambayo kwenu haipo hata akilini ni KUFIKIRIA MNAWEZA KUTUSEMEA WATANZANIA wakati elimu mliyotupatia nyinyi wenyewe kwa vitendo ni kuwatambua kuwa ni laghai tu. Lema ametusemea sisi siyo nyinyi watawala; kwa sababu nyinyi ndiyo mafisaadi, wala rushwa, wauaji na mmedumu madarakani muda mrefu bila tija.

3. Huyu Lema ndiye anatarajiwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani pale ndoto za CDM zitakapotimia za kukamata dola. Je, ipo siku tz itakuwa na waziri kilaza/mbumbumbu kama huyu?...hafai hata kupewa u-Katibu Kata.....(Kishongo)

JK rais wako ameonyesha kwa vitendo kuwa hata ujumbe wa nyumba kumi kumi hauwezi. Kama kigezo cha uongozi na viashiria vyake ni JK, CCM na wewe basi umbumbu halisi ni ule unaoonyeshwa na JK na serikali yake kwa nchi kudumaa hata kimawazo; wewe ukiwa mfano dhahiri. NAOMBA KWA HESHIMA NIKUARIFU KUWA WAKATI WA UHAI WAKO UTAKUWA CHINI YA SERIKALI INAYOONGOZWA NA CDM, labda ujinyonge wakti serikali inakabidhiwa nchi.

Wana Arusha, mlimpa kura na sasa mmeumia.....imekula kwenu.....ni miaka mitano ya maumivu.(Kishongo)

Tunampokea kama shujaa kwa yote aliyoyafanya bungeni kwa sababu amekidhi matarajio yetu. Hivi hujiulizi kwa nini rais wako JK kakata mguu Arusha. Ni kwa sababu hakuna wapuuzi kama wewe.

'A LITTLE LEARNING IN DEED MAY BE DANGEROUS'.....imenukuliwa na Naibu Waziri Mambo ya Ndani (Kishongo)

Mtu ye yote anayefikia kutumia matusi na jazba ameshafikia ukomo wa kufikiri. HAYO NDIYO ALIYODHIHISHA NAIBU WAKO NA WEWE
 
Chadema kama ikibidi take it notch higher do Malcom X vibe. Sisi iko sambasamba..
 
Back
Top Bottom