Naibu Waziri wa Ardhi alalamika ITV

Kumbakumba

JF-Expert Member
Sep 7, 2011
222
18
Kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV,anasema alipokuwa ziarani Tanga,alikuta mtu asiemtanzania ameingia nchini na kujenga pwani ya Tanga bila kuwa na kibali cha ujenzi wala kibali hati ya kumiliki ardhi..binafsi nikashangaa sana Waziri anaehusika nayeye anashangaa inawezekana vipi hili kutokea na mwisho kwenda kwenye chombo cha habari kulalamika..nchi hii sijui inaelekea wapi?
 
Kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV,anasema alipokuwa ziarani Tanga,alikuta mtu asiemtanzania ameingia nchini na kujenga pwani ya Tanga bila kuwa na kibali cha ujenzi wala kibali hati ya kumiliki ardhi..binafsi nikashangaa sana Waziri anaehusika nayeye anashangaa inawezekana vipi hili kutokea na mwisho kwenda kwenye chombo cha habari kulalamika..nchi hii sijui inaelekea wapi?

Hawa watu kwa kushangaa ndio kawaida yao, namba 1 aliwahi kuulizwa kwa nini Tanzania ni maskini akasema hata yeye anashangaa!!
 
Hata Kikwete huwa anashangaa tu na hakuna hatua zinazochukuliwa. Wakati wa Mwinyi Watanzania walisema serikali iko likizo, sijui sasa wanasemaje kwa serikali hii ambayo inaona matatizo lakini wanabaki kushangaa shangaa tu.
 
​viongozi wa ccm 99%ni vibaka na waongo wote ni wauzaji wa nchi yetu
 
Ni matokeo ya kuwapa nyadhifa watu kwa kigezo cha ukada na uswahiba. Wengine ni vihiyo wa kutupwa. Kwa hiyo akilalamika msishangae. Ofisini kwake shughuli kubwa ni majungu tu, hana taarifa ya sheria, miongozo na utendaji wa wizara yake.
 
OMBI LANGU KWA CHADEMA mtakapoingia madarakani 2015 kama tunavyotarajia , KAMATENI MAOFISA WOTE WA WIZARA YA ARDHI hawa si wafanyakazi bali ni wauza nchi , kamata hata WAZIRI NA NAIBU WAKE ,watatajana mbele ya safari .
 
WIZARA YA ARDHI NDIYO WIZARA mbovu kuliko zote , ikifuatiwa kwa karibu na WIZARA YA MAMBO YA NDANI , namba 3 ni WIZARA YA KILIMO NA CHAKULA , ELIMU INATUFUNGIA 4 BORA
 
Hembu mama Tibaijuka atuambie mwaka 2013 wizara yake imepokea maombi mangapi ya kuomba hati za umiliki ardhi,na IMETO AHATI NGAPI NDANI YA MWAKA HUO?Yaani kupata hati utafikiri unaomba kuingia peponi
 
Hii wizara ni failure. Hadi leo bado watu wanajenga bila kupangilia miji huku nje ya mji kama walivyojenga tandale na wizara haifanyi lolote.
 
Back
Top Bottom