DAH, HONGERA SAANA umefanya kazi nzuri na Mungu atakulipa.Toka tulivyoanza kumuwinda binti alikuwa akitembea na kipenga, hali kadhalika mlinzi pia kama kawaida yake, basi jamaa akamwita binti chumbani kwa madai kuwa amtolee nguo ya kuvaa kabatini, ile binti anaingia chumbani akamkuta jamaa yuko kama alivyozaliwa na mguu wa 3 ukiwa unataka salam, binti hakushtuka kwani alikuwa na kipenga chake. Alisogea kwenye kabati ili atoe nguo jamaa likamfata na kupandisha sketi ya binti, ndipo kukurukakara zilipoanza binti akashindwa kujinasua maana ni pande la baba na limeenda hewani. Dada wa watu akiwa ktk purukushani hizo alifanikiwa kuipata filimbi yake ile kupuliza tu na mlinzi akapokea, majirani nao kwa vile walikuwa wameshapewa taarifa walivamia ndani na kuanza kumpa kipingo cha mbwa mwizi. Baada ya hapo jamaa alipotea kama wiki hivi alivyorudi alikuja kuhamisha vitu vyake tu. Kifupi ndo ilikuwa hivo mkuu.
TaiJike,Hii story ulivyoanza na hii tiotle yako nilijua inshu tofauti kabisa!Mwenzako eti nilidhani ndoa imejibu kwa maana huyo neiba wako unamzimia halafu usiku labda unaingiagiaga kwake unalala mpaka morning!!!
Kweli wewe ni Mwanapropaganda chama kinaingiaje hapa Mkuu au sijakuelewa?Ni mwanachama wa chama gani huyo jamaa?
Kwani hana chama?Kweli wewe ni Mwanapropaganda chama kinaingiaje hapa Mkuu au sijakuelewa?
Na wewe je?Unamaniisha chama cha siasa au?
Kama ni ndoa jamaa alikuwa na mke na watoto 3 na kimada mwenye mtoto 1.
Nakufahamu vizuri sana japo hunijui.Nina Mume na watoto 2
Hahaha! Mafichoni wapi wewe?Ni vizuri kujificha endelea kukaa mafichoni kama askari wa tochi utaibuliwa na nyoka
Safi sana jambazi kakamatwa.