- Thread starter
- #41
guilty conscience may be!?? N u r not yet married..mpaka 33, unagawa bado unasubiria ku-enjoy!?????????????????????????????
asante rafiki kwa ushauri wako. Siyo kwamba nagawa au labda nafanyeje ni mtu ambaye nami nimejiheshimu sana. Of course nilikuwa na bf na kwa sasa hayupo nchini na mawasiliano hatuna. Hili imebidi niulize kutokana na kusikia story nyingi toka kwa wasichana/wanawake wenzangu wanavyoelezea hiyo raha nami sijawahi hata siku moja kuipata. Ikabidi niulize na nisingeweza kusema niko single najua watu wangeshangaa huyu anaomba ushauri wakati yuko single? Hope umenielewa.