Ninayo used namba C tvs haijawahi fanya boda zaidi ya kuendea kaziniHabari wakuu, nahitaji msaada wa kupata pikipiki ya mkataba, mpya au used haina shida.ninamzamini wa kuniwekea mdhamana. Ni mfanyakazi wa serikali.pia nina kiwanja pwani cha samani ya Laki 6.mkuranga pwani.uaminifu ni mkubwa sana.
Mkuu naitaji iyo 0716090914Ninayo used namba C tvs haijawahi fanya boda zaidi ya kuendea kazini
Utakua unaleta ngapi kwa siku