rizentrape
New Member
- Feb 18, 2024
- 2
- 0
Habari ndugu zangu?
Naomba msaada katika hili,
Nimeanza usajili wa NGO's online lakini website (nis.jamii.go.tz) wizara inasumbua sana,,
kwenye kutengeneza akaunti inakubali ila kuthibitisha email ili kuendelea inakata, inaleta " Oops! An Error Occured"
HATUA NILIZO CHUKUA
1) Kumuuliza Afisa Maendeleo jamii, akasema👉🏿 hapo ndio mwisho huwezi endelea zaidi mfumo unashida lakini yeye anaweza malizia kwa kuwasiliana na watu wa wizara nimlipe laki 3.
2)Kutembelea wataalamu wanaohusika na sajili mbalimbali, walichosema👉🏿 nitoe pesa mwingine laki 6, mwingine laki 4 nk.
OMBI LANGU KWENU
Najua hapo ni wataalamu ,, nahitaji kukamilisha hii kazi kwa msaada wenu.
Ahsante MUNGU awabariki.
Naomba msaada katika hili,
Nimeanza usajili wa NGO's online lakini website (nis.jamii.go.tz) wizara inasumbua sana,,
kwenye kutengeneza akaunti inakubali ila kuthibitisha email ili kuendelea inakata, inaleta " Oops! An Error Occured"
HATUA NILIZO CHUKUA
1) Kumuuliza Afisa Maendeleo jamii, akasema👉🏿 hapo ndio mwisho huwezi endelea zaidi mfumo unashida lakini yeye anaweza malizia kwa kuwasiliana na watu wa wizara nimlipe laki 3.
2)Kutembelea wataalamu wanaohusika na sajili mbalimbali, walichosema👉🏿 nitoe pesa mwingine laki 6, mwingine laki 4 nk.
OMBI LANGU KWENU
Najua hapo ni wataalamu ,, nahitaji kukamilisha hii kazi kwa msaada wenu.
Ahsante MUNGU awabariki.