Mtu mzima hovyo, sijawahi kuona mtu mbinafsi kama wewe na kama haya ndiyo mambo yako subiri vijana watakuchezea baada ya miaka kadhaa wanaondoka na kuoa wake zao. Si utulie au mwombe Mungu urudiane na mumeo? Wewe unatamani maisha ya uzinzi tu.Sitaki aoe na sitaki atafute Mtoto.