Nishaaga Mkuu...tangu nitoke kwetu Kigoma Bangwe
Una uhakika kama imezeeka?
Nina uwezo wa kukupelekesha puta mpaka ukojoe.
Maisha hayaji mara mbili yakipita,yamepita
kinachofurahisha moyo ndo kitafute.
Hawa wanaitwa mama sukari .sugar mumy .mmoja wapo ndio kajitokeza hapa ,matendo yao ,tabia zao mienendo yao kamwe hawezi kuvumiliwa kwenye jamii ni waharibifu wa vijana wetu 26----55. wapi na wapi siungi hoja yako mkono .
Exactly DaMie kuna watu huwa wanajifanya watakatifu lakini tabia zao ni hovyo sana mojawapo ni humu JF.. maana hata ukipita baadhi ya sehemu utakuta wadada wanasema live wanapenda kupigwa tigo kwa sababu wanaenjoy maisha lakini humu watu wanajifanya watakatifu kumbe ni wanafiki tu....
Mbona mnamsakama, unakula kitu roho inapenda.
AmKATRINA nakupongeza kwa uamuzi wako wa busara. Nature inakubali kabisa maamuzi yako, tunapokuwa wadogo tunatamani wakubwa, tunapokuwa wakubwa tunatamani wadogo.
Mimi nina umri kama wako na sitaki jimama, nataka kitoto kuanzia 18 mpaka 24 mwisho. Ni choice yangu na sidhani kama nafanya makosa, tena wa kukioa kabisa nikidekeze.
Jamani mbona hampo serious?
Am a Tanzanian Woman.
Natafuta Kijana wa Kitanzania wa Kumlea,Almradi ajue Mapenzi na Awe Handsome kiasi.
Mimi Nimetengana na Mume wangu.
Sihitaji sifa zozote toka kwake,ila Mapenzi ndo ya Umuhimu.
Umri wangu ni miaka 55.
Yeye awe na kuanzia miaka 22-26.
Samahani nilisahau umri.
Me nina 27 years na mume mtarajiwa ningependa awe na umri kuanzia 29 years hadi 35.