WA MAMNDENII
JF-Expert Member
- Jun 5, 2010
- 344
- 57
kama kuna mdau mwenye kujua kufahamu duka /mahali/mtu ambapo naweza kununua used laptop yenye kiwango cha kuridhisha isiyozidi tshs 500,000/ tafadhali anitonye au anielekeze pa kuipata, nina dogo wangu yupo chuo kapata boom lake kanipa uchache nimtafutie hivyo kabla sijaanza kuzungukia maduka town wadau mwaweza kunipa mwelekeo