Nahitaji chumba

xkamzy

Member
Mar 27, 2011
61
11
Niko Dar es salaam kwa muda wa
miezi mitatu nilikuwa nahitaji
apartment or chumba ambacho ni
cha selfcontained kiwe na kitanda
+ godoro, budget yangu ni Tsh
300,000/= kwa muda wote wa miezi
3. Napendelea kiwe kinapatikana
maeneo ya magomeni mapipa
kwelekea mjini ya kariakoo or
posta....
Mawasiliano!!
0713294699 or 0754542300 muda wote napatikana or nipm tutawasiliana faster!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom