Nahisi kuna kitu kizito we subiri nione mchezo unapoishia

Chief Kumbyambya

JF-Expert Member
Jun 16, 2022
490
1,461
Wataalam wa mambo... twende kazi....

Kwani huwa inachukua muda gani mtoto kuwa na rangi wa wazazi wake..? Au kufanana na wazazi wake hata mmoja tu.

Baba mweusi, mama mweusi lakini mtoto katoka mweupee. Ndiyo najua kuna ile rangi nyeupe ya kitoto lakini kama wazazi ni weusi baadae inabadilika na anakuwa mweusi, lakini mbona huyu rangi haibadiliki?

Mtoto ana miezi kumi saizi ila hata dalili za kubadilika rangi hamna, toto bado ni jeupee.

Nahisi kuna uwepo wa miso misondo hapa a.k.a kitu kizito sasa subiri.

Niliapa katika maisha yangu siji kuuwa mtu hata siku moja, kwanza ni zambi ila kumbe inawezekana kiurahisi tu aisee na wala sio zambi kumbe.

Ngoja kwanza muda wote najifanya kama sijashtuka vile nakaa na mtoto nacheza nae kumbe mjuba namkagua chalii na bado sijioni kabisaaaaa.

Tumefanana kitu kimoja tuu, ile mistari ya kwenye viganja... Alama zilivyojichora kwenye kiganja changu cha kushoto nayeye cha kushoto ziko vile vile.... Na za mkono wa kulia wangu zilivyojichora na yeye vile vile ila the rest ni utofauti wa kiwango cha lami....

Kuna time nikiwa nimempakata namcheki dogo weeee kama anakujaa alafu anakataaa..... Napiga funda Moja la safari... Namcheki tena weeee anakuja alafu anakataaaa.

Nahisi kuna siku nitatangazwa kwenye kile kipindi cha matukio ya wiki pale I.T.V kwa kitendo ambachi nimepanga kukifanya. We ngoja, time will tell.
 
Tatizo maisha mnayakazia na kuyapania sana. Life is too short, unachofikiria kichwani ni kujimaliza kabisa au kwenda kuishi jela maisha yako yaliyobakia. Jiulize baada ya kuwa hivyo utapata nini zaidi ya kujilaumu!?,nenda kapime DNA ukiwa tayari kwa lolote, ukikuta dogo sio wako. Chukua begi na nguo tu, poteza mawasiliano na watu wote wa karibu angalau miezi 6 ukimshirikisha Mungu kwa ukaribu, baada ya hapo ndio utakuwa na maamuzi ya busara. Ukipima DNA ukakuta dogo ni wako, niliyoeleza hapo juu yote yapuuze hayana maana tena. Huu ni ushauri wangu.
 
Tatizo maisha mnayakazia na kuyapania sana. Life is too short, unachofikiria kichwani ni kujimaliza kabisa au kwenda kuishi jela maisha yako yaliyobakia. Jiulize baada ya kuwa hivyo utapata nini zaidi ya kujilaumu!?,nenda kapime DNA ukiwa tayari kwa lolote, ukikuta dogo sio wako. Chukua begi na nguo tu, poteza mawasiliano na watu wote wa karibu angalau miezi 6 ukimshirikisha Mungu kwa ukaribu, baada ya hapo ndio utakuwa na maamuzi ya busara. Ukipima DNA ukakuta dogo ni wako, niliyoeleza hapo juu yote yapuuze hayana maana tena. Huu ni ushauri wangu.
Naskia Kwa hapa TZ hizo DNA zikitoka tu kwa mkemia hatakama mtoto sio wako utaambiwa ni wako. Wanahofia familia itasambaratika na mtoto ataishi katika mazngira magumu hivyo hata kama sio wangu mkemia ataniambia hongera sana kijana... Moto ni wako asilimia mia. Sasa hayo yote ya kudanganywa na mkemia ya nini!!!
 
Wataalam wa mambo... twende kazi....

Kwani huwa inachukua muda gani mtoto kuwa na rangi wa wazazi wake..? Au kufanana na wazazi wake hata mmoja tu.

Baba mweusi, mama mweusi lakini mtoto katoka mweupee. Ndiyo najua kuna ile rangi nyeupe ya kitoto lakini kama wazazi ni weusi baadae inabadilika na anakuwa mweusi, lakini mbona huyu rangi haibadiliki?

Mtoto ana miezi kumi saizi ila hata dalili za kubadilika rangi hamna, toto bado ni jeupee.

Nahisi kuna uwepo wa miso misondo hapa a.k.a kitu kizito sasa subiri.

Niliapa katika maisha yangu siji kuuwa mtu hata siku moja, kwanza ni zambi ila kumbe inawezekana kiurahisi tu aisee na wala sio zambi kumbe.

Ngoja kwanza muda wote najifanya kama sijashtuka vile nakaa na mtoto nacheza nae kumbe mjuba namkagua chalii na bado sijioni kabisaaaaa.

Tumefanana kitu kimoja tuu, ile mistari ya kwenye viganja... Alama zilivyojichora kwenye kiganja changu cha kushoto nayeye cha kushoto ziko vile vile.... Na za mkono wa kulia wangu zilivyojichora na yeye vile vile ila the rest ni utofauti wa kiwango cha lami....

Kuna time nikiwa nimempakata namcheki dogo weeee kama anakujaa alafu anakataaa..... Napiga funda Moja la safari... Namcheki tena weeee anakuja alafu anakataaaa.

Nahisi kuna siku nitatangazwa kwenye kile kipindi cha matukio ya wiki pale I.T.V kwa kitendo ambachi nimepanga kukifanya. We ngoja, time will tell.
Mzee mwenzangu rangi n kitu cha mwisho katika kulinganisha we mcheki kucha, pua, nywele, masikio lipsi za midomo na vidole pia wape wahenga wa ukoo wenu wait watasema kikubwa cha mwisho mlinganishe na kijana wako wa kuleeeeeeeeee kama ni tofauti fanya maamuzi ambayo hutoyajutia.
 
Naskia Kwa hapa TZ hizo DNA zikitoka tu kwa mkemia hatakama mtoto sio wako utaambiwa ni wako. Wanahofia familia itasambaratika na mtoto ataishi katika mazngira magumu hivyo hata kama sio wangu mkemia ataniambia hongera sana kijana... Moto ni wako asilimia mia. Sasa hayo yote ya kudanganywa na mkemia ya nini!!!
Sasa hivi hospitali binafsi zinazofanya DNA zipo nyingi tu. Ni wewe na pesa yako tu.
 
Back
Top Bottom