jogoo wa maajabu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 619
- 1,138
pole sana kaka angu
Mi mwenyewe nashangaa mkuu yaani mke kapewa milioni 6 kapoteza kizembe then brother anapata taabu ye anaendelea kumumiza .Pole.
Tunapowekeza mahali pamoja pakaticki tusijisahau kuwekeza na pengine tofauti tofauti.maana kimoja kinaweza anguka,kingine kikabaki na kukushika
Mkeo ni mjinga na hana busara,million sita ni pesa nyingi sana kuwekeza ya kaenda katafuta mteremko QNet kaliwa ni mjinga!.kapata kazi bado anakuumiza ilhali anajua kazi huna na unaumwa hana busara!
Kwanini usiuze vitu ulivyonayo baadhi vyenye thamani vikusongeshe kuliko vikikaa tu vinachakaa ukweni?
Ulisema mna nyumba mnamalizia kujenga kwanini usiuze angalau utapata hata million 20-40 uanze upya?
Ama uza hili gari kisha hamia nyumba mnayojenga ikiwa hata pagala juu bati madirisha ya nyavu muanze maisha huku unaendelea kutafuta kazi?
Ni ushauri tu maana huwezi jua Hiki kilio kitachukua mda gani..so ujiongsze kwanza.
Soma mada vzuri kwel wewe(troublemaker)Mkuu ulikuwa na gari ndogo. Bila shaka smartphone pia. Ungeenda hata ubber au bolt ukajisajili. Usingekosa hata pesa ya kodi na kula kusukumizia siku.
Hawa wenzetu linapokuja swala la dhiki na alizoea raha ngumu kuvumilia.
Jamani muwe wema na muwatende mema wake zenu mnapokuwa katika nyakati nzuri ili wasiwatenge katika nyakati mbaya pia.
Sent using Jamii Forums mobile app