Nahisi kukata tamaa na hii kazi ya kuajiriwa

philantrhopist

JF-Expert Member
Jun 18, 2023
376
622
Naenda moja kwa moja kuhusu hii kazi ya kuajiriwa.

Nina shahada ya ualimu, nimetafuta kazi miaka mingi ni mizinguo kila kona, kwingine wanalipa 100,000 ukiangalia bajeti yaani hata hela ya vocha unaweza kukosa. Nikachunguza na maisha ya walimu si mazuri kiviile japokuwa kuna wachache waliotoboa na wana maisha mazuri tu.

Katika kupambana kwangu sasa nimeajiriwa duka la mhindi, yaani napelekeshwa sana yaani sipumui. Ukitaka hata kupumzika unasikia wewe (X) njoo fanya haraka sogeza.

Nikirudi usiku nimechoka ukilala ni usingizi wa pono.

Mshahara ninaolipwa ni 300k. Nina wadogo zangu wananitegemea pamoja na wazazi pia.

Nimetoka familia masikini, nimewaza hadi nimekonda.

Hela yenyewe nikiichukua sijui inakua na majini inaisha haraka hadi nashindwa kujiwekeza.

Nimefika sehemu nikasema sasa haya maisha ni kama hayana maana kabisa kwa sababu sioni ninachokifanya.

Enyi ninyi wenye koneksheni, au mliofanikiwa nipeni mbinu jamani na mimi nijiajiri kwa sababu kuajiriwa ni kazi. Unapelekeshwa, mishahara haitoshi, bosi anaweza kufanya chochote anachoweza kufanya.

Ee Mungu ni lini nitatoboa niachane hizi taabu. Umaskini wa baba na mama usiwe kikwazo cha kufanikiwa kwangu, nifanyeje?
 
Mkuu kila kazi inachangamoto zake na kama unataka kutoka hapo ulipo lazima ukubali kujitesa saana ili uwe na akiba ya kwenda kujiajiri hasa mtaji wako, pia aina ya biashara unavyotaka kufanya kila kitu ni malengo mkuu pia ndani ya hyo kazi Yako kwa mhindi ndo sehemu pia ya wewe kujifunza na kutengeneza connection
 
Naenda moja kwa moja kuhusu hii kazi ya kuajiriwa.

Nina shahada ya ualimu, nimetafuta kazi miaka mingi ni mizinguo kila kona, kwingine wanalipa 100,000 ukiangalia bajeti yaani hata hela ya vocha unaweza kukosa. Nikachunguza na maisha ya walimu si mazuri kiviile japokuwa kuna wachache waliotoboa na wana maisha mazuri tu.

Katika kupambana kwangu sasa nimeajiriwa duka la mhindi, yaani napelekeshwa sana yaani sipumui. Ukitaka hata kupumzika unasikia wewe (X) njoo fanya haraka sogeza.

Nikirudi usiku nimechoka ukilala ni usingizi wa pono.

Mshahara ninaolipwa ni 300k. Nina wadogo zangu wananitegemea pamoja na wazazi pia.

Nimetoka familia masikini, nimewaza hadi nimekonda.

Hela yenyewe nikiichukua sijui inakua na majini inaisha haraka hadi nashindwa kujiwekeza.

Nimefika sehemu nikasema sasa haya maisha ni kama hayana maana kabisa kwa sababu sioni ninachokifanya.

Enyi ninyi wenye koneksheni, au mliofanikiwa nipeni mbinu jamani na mimi nijiajiri kwa sababu kuajiriwa ni kazi. Unapelekeshwa, mishahara haitoshi, bosi anaweza kufanya chochote anachoweza kufanya.

Ee Mungu ni lini nitatoboa niachane hizi taabu. Umaskini wa baba na mama usiwe kikwazo cha kufanikiwa kwangu, nifanyeje?
Mpige (mwibie). Dawa ya moto ni moto wewe vipi? Unauza duka unakosa kutoka na kitu chenye thamani hata buku 10 kila siku?
 
Naenda moja kwa moja kuhusu hii kazi ya kuajiriwa.

Nina shahada ya ualimu, nimetafuta kazi miaka mingi ni mizinguo kila kona, kwingine wanalipa 100,000 ukiangalia bajeti yaani hata hela ya vocha unaweza kukosa. Nikachunguza na maisha ya walimu si mazuri kiviile japokuwa kuna wachache waliotoboa na wana maisha mazuri tu.

Katika kupambana kwangu sasa nimeajiriwa duka la mhindi, yaani napelekeshwa sana yaani sipumui. Ukitaka hata kupumzika unasikia wewe (X) njoo fanya haraka sogeza.

Nikirudi usiku nimechoka ukilala ni usingizi wa pono.

Mshahara ninaolipwa ni 300k. Nina wadogo zangu wananitegemea pamoja na wazazi pia.

Nimetoka familia masikini, nimewaza hadi nimekonda.

Hela yenyewe nikiichukua sijui inakua na majini inaisha haraka hadi nashindwa kujiwekeza.

Nimefika sehemu nikasema sasa haya maisha ni kama hayana maana kabisa kwa sababu sioni ninachokifanya.

Enyi ninyi wenye koneksheni, au mliofanikiwa nipeni mbinu jamani na mimi nijiajiri kwa sababu kuajiriwa ni kazi. Unapelekeshwa, mishahara haitoshi, bosi anaweza kufanya chochote anachoweza kufanya.

Ee Mungu ni lini nitatoboa niachane hizi taabu. Umaskini wa baba na mama usiwe kikwazo cha kufanikiwa kwangu, nifanyeje?
Pole sana mkuu!!
 
Pole sana mwanakwetu, nakushauri itumie hiyo fursa kama shule. Jitume kama punda kwa uaminifu mkubwa wakati huohuo ukijifunza namna biashara inavyofanyika. Ku manage biashara sio rahisi kama wengi wanavyodhani, ukiwa makini utajifunza mengi hapo.

Tunza kidogo unachoweza kwa ajili ya kuanzia bishara yako pindi utakapo kuwa umeiva.
 
Hakuna kazi isiyo na changamoto Mkuu, muhimu uvumilivu na kujiwekea malengo kwa kusevu kiasi kidogo kidogo ili uwe unafanya na ujasiriamali kwa lengo la kujikwamua kiuchumi.

Amini nakwambia, every one has a story to tell na ni bora wewe umepata sehemu ya kulipwa hizo mia 2 mbili wengine hawana kabisa
 
Mkuu kila kazi inachangamoto zake na kama unataka kutoka hapo ulipo lazima ukubali kujitesa saana ili uwe na akiba ya kwenda kujiajiri hasa mtaji wako, pia aina ya biashara unavyotaka kufanya kila kitu ni malengo mkuu pia ndani ya hyo kazi Yako kwa mhindi ndo sehemu pia ya wewe kujifunza na kutengeneza connection
nashindwa pa kuanzia mkuu
 
Pole sana mwanakwetu, nakushauri itumie hiyo fursa kama shule. Jitume kama punda kwa uaminifu mkubwa wakati huohuo ukijifunza namna biashara inavyofanyika. Ku manage biashara sio rahisi kama wengi wanavyodhani, ukiwa makini utajifunza mengi hapo.

Tunza kidogo unachoweza kwa ajili ya kuanzia bishara yako pindi utakapo kuwa umeiva.
Katika ushauri ni huu👏👏👏
 
Back
Top Bottom