Nafasi za masomo vyuo vya nursing na uhudumu afya

tigana

Member
Feb 20, 2012
22
1
Nina kijana hapa amepata div IV.40 ana (D ya biology ) (C ya kiswahili) Masomo mengine NI E na F naomba msaada jinsi ya kupata chuo ya Nursing au sehemu wanapotoa mafunzo ya uhudumu wa afya. Nashukuru kwa mchango wako
 
ingia kwenye website ya wizara ya afya، kuna tangazo lao, hapo utapata sifa na vigezo na mwisho wa kutuma maombi
 
Back
Top Bottom