Nguchiro
JF-Expert Member
- Nov 23, 2009
- 364
- 31
aisee una wenge au?mbona mnauliza vitu vya ajabu ajabu?hilo tangazo ni la lini kwani au huoni?Waheshimiwa, naomba anaefahamu kiwango cha mshahara kwa wanaoanza kazi huku TACAIDS, JSI/EGPAFF na kama wana benefit nyingine kama usafiri i. e nauli, nyumba nk. Ni muhimu kweli kweli