Kaimu Mkurugenzi Mtendaji - TACAIDS asema “Tumebakiza miaka 7 kutokomeza UKIMWI”

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,309
5,464


Kutoka Morogoro, Viwanja vya Shule ya Moro Sec katika maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani, ITV imezungumza na Dk. Jerome Kamwela ambaye ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji TACAIDS anasema:

"Kama tumebakiza miaka 7 kutokomeza UKIMWI, maana yake kati ya leo mpaka 2030 miaka 7 tu imebaki, maana yake huduma zipo, uelewa upo, lakini tujue maambukizi mapya yanatokea kwenye jamii."

Chanzo: ITV
 
Mbona maambukizi bado yapo kwa kasi UKIMWI utatokomezwaje baada ya miaka 7?
 


Kutoka Morogoro, Viwanja vya Shule ya Moro Sec katika maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani, ITV imezungumza na Dk. Jerome Kamwela ambaye ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji TACAIDS anasema:

"Kama tumebakiza miaka 7 kutokomeza UKIMWI, maana yake kati ya leo mpaka 2030 miaka 7 tu imebaki, maana yake huduma zipo, uelewa upo, lakini tujue maambukizi mapya yanatokea kwenye jamii."

Chanzo: ITV
Kwa data ipi? au mathematical model ipi kutoa conclusion kama hiyo? Tunataka atuwekee investigator's brochure tuone hiyo data
 
Utokomee tu. Tena haraka iwezekanavyo. Au ikiwezekana urudi kwa walioutengeneza, halafu uwafyeke wote ndani ya muda mfupi.
 
Zile rapid tests zikianza kupatikana na kununuliwa kwa wingi kama vipimo vya mimba nitajua uelewa umeongezeka na hiyo 2030 tutafikia hilo lengo.

Kinyume na hapo ni kusubiri tu upikwaji wa takwimu baada ya 2030!
 
Zile rapid tests zikianza kupatikana na kununuliwa kwa wingi kama vipimo vya mimba nitajua uelewa umeongezeka na hiyo 2030 tutafikia hilo lengo.

Kinyume na hapo ni kusubiri tu upikwaji wa takwimu baada ya 2030!
N kweli
 
Jamaa ningekua karibu nae ningempiga vibao

Bongo tumeendekeza sana ngona zembe, elimu haijawafikia watu au wameamua kupuuza tu

Majirani hapo Kenya tu vituo vya magonjwa ya zinaa zimejaa tele, hata kama saa 8 usiku mtu anakuambia tukapime pale

Wenzetu wapo makini demu ukimwambia umpige kavu anakushangaa sana wakati huku kwetu ukitaka kutumia kinga utaskia mara inaniumiza, mara mafuta yake sijui yanafanyaje, mara tupake mafuta

Bongo tumeendekeza sana utelezi
 
Mbona maambukizi bado yapo kwa kasi UKIMWI utatokomezwaje baada ya miaka 7?
Hujaelewa hawa jamaa, wao wanaweka ngonjera kwenye mambo yanayohitaji umakini mkubwa

Yaani wanaposema kutokomeza ukimwi wanaamaanisha ile hali ya mtu mwenye HIV kuishi tu na maamhukizi pasipo kuugua magonjwa yanayatokana na upungufu wa kinga, au kwa kifupi kumudu kudhibiti asifikie upungufu wa kinga

Lakini kwa upande wa pili hii si hatua ya kujisifu ikiwa maambukizi yanaendela kutokea. Ni hali hatarishi kwa sababu hata hiyo kuweza kudhibiti upungufu wa kinga usitokee kwa kutumia dawa hatufanyi kwa uwezo wetu, sasa itakuwaje siku moja wanaofadhili hizi dawa wakishindwa kuendelea kuzileta
 
Hujaelewa hawa jamaa, wao wanaweka ngonjera kwenye mambo yanayohitaji umakini mkubwa

Yaani wanaposema kutokomeza ukimwi wanaamaanisha ile hali ya mtu mwenye HIV kuishi tu na maamhukizi pasipo kuugua magonjwa yanayatokana na upungufu wa kinga, au kwa kifupi kumudu kudhibiti asifikie upungufu wa kinga

Lakini kwa upande wa pili hii si hatua ya kujisifu ikiwa maambukizi yanaendela kutokea. Ni hali hatarishi kwa sababu hata hiyo kuweza kudhibiti upungufu wa kinga usitokee kwa kutumia dawa hatufanyi kwa uwezo wetu, sasa itakuwaje siku moja wanaofadhili hizi dawa wakishindwa kuendelea kuzileta
Haya Madawa yanatengenezwa under copyright je wenyewe wakiamua kupiga marufuku utengenezaji?
 
Back
Top Bottom