Unaishi wapi mkuu mpaka huifahamu TACAIDS??
Haya Tanzania Commission for AIDS = TACAIDS
"Commission for AIDS" - Jina kama nilishawahi kulisikia mahali vile - Are they "commisioning" AIDS? - Strange!!!
Mishahara mizuri marupurupu kibaoKama kuna anaejua salary range ya TACAIDS officers naomba anieleze
Karibu
Waheshimiwa, naomba anaefahamu kiwango cha mshahara kwa wanaoanza kazi huku TACAIDS, JSI/EGPAFF na kama wana benefit nyingine kama usafiri i. e nauli, nyumba nk. Ni muhimu kweli kweli