Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
Wana-JF kwa muda wa masaa 36 yaliyopita wengi wetu tumekuwa tukishanda hapa nyavuni, tukijaribu kuangalia nini nyavu zinaweza zikanasa kuhusiana na sakata Luteni General Shimbo.
Wachangiaji wengi tulijitokeza na kuongeza idadi ya posts (point)zetu, ambazo mwisho wake tumepigwa penalt au tumepokwa idadi baada ya uzi ule kuondolewa.
My Take:
Tuliwahi kumsikia waziri mkuu Mizengo Pinda akigoma kuongelea masuala yahusuyo Meremeta kwa kuwa ipo connected na Jeshi, na akaendelea kusema kwa jinsi hiyo ni suala zito na yupo tayari kwa next step/level kuliko kuongelea jambo hilo.
Wengi walimbeza Pinda labda kwa kushindwa kumuelewa (si kila jambo tunapaswa kuelezwa na kulielewa, yatupasa tusubiri yatupate ndipo tutaelewa).
Hali hiyo ikajitokea hapa JF (for good thou), tukaongea tuliyoyaongea, na wengine wakatoa hukumu, wengine wakanena kwa lugha na wengina pressure ziliwapanda, wengine zikawashuka.
Wakuu wa JF wakaahidi kutoa documents ....tik tok tik tok....masaa yakaenda, nao wakafuata nyao za Pinda, wakaona ni heri walaumiwe na ikibidi wawe tayari kwa next/level (lawama), hata kushusha status, lakini ni heri waiondoe ile thread kuliko kuendelea kuliongelea suala lile nyeti(for good also).
Mtazamo wangu na natumaini ndivyo itakuwa kwa wana JF wengi, kwangu au kwetu kamwe status zenu hazitashuka, mumefanya mengi kufika hapa tulipo. Kuondolewa kwa thread ile ni all for good, hakubadilishi hali, isipokuwa inaweza ikawa ni ugunduzi mpya ndani yake wenye ujio wa kivingine.
Kwa wafanyakazi wana Descriptions wao hujua nini hutokea kushindwa kuzi-follow na ku-fulfill hizo descriptions, wafanyabiashara wana plans kuna kipindi huwa zina go soar, hawa itokeapo malengo yao yasitimie huwa wanatengeneza promises na ways na to avoid failures.
Sisi wengine tuna missions, huwa inatokea tunashindwa kuzi-accomplish, japo hutugharimu lakini tunazichukulia kama changamoto na kuongeza commitments katika mikakati ijayo.
Huu si wakati wa harakati, bali ni wakati wa mapinduzi halisi......hivyo tusimame na kupambana kwa nia, yaliyotokea hapa ni yetu sote, hatutamuacha mpambanaji yeyote nyuma bali kwa kila atakaye dondoka tutampa a suppoting hand na kuendelea kusonga mbele, mpaka kwenye mstari wa mafanikio.
My Conclusion - Nadhani sasa tumejifunza kitu na kumuelewa Pinda. Na halii tuichukue kama gauge ya kupima mazingira yanayotukabili na tuliyoamua kukabiliana nayo.
Tupo pamoja.
Wachangiaji wengi tulijitokeza na kuongeza idadi ya posts (point)zetu, ambazo mwisho wake tumepigwa penalt au tumepokwa idadi baada ya uzi ule kuondolewa.
My Take:
Tuliwahi kumsikia waziri mkuu Mizengo Pinda akigoma kuongelea masuala yahusuyo Meremeta kwa kuwa ipo connected na Jeshi, na akaendelea kusema kwa jinsi hiyo ni suala zito na yupo tayari kwa next step/level kuliko kuongelea jambo hilo.
Wengi walimbeza Pinda labda kwa kushindwa kumuelewa (si kila jambo tunapaswa kuelezwa na kulielewa, yatupasa tusubiri yatupate ndipo tutaelewa).
Hali hiyo ikajitokea hapa JF (for good thou), tukaongea tuliyoyaongea, na wengine wakatoa hukumu, wengine wakanena kwa lugha na wengina pressure ziliwapanda, wengine zikawashuka.
Wakuu wa JF wakaahidi kutoa documents ....tik tok tik tok....masaa yakaenda, nao wakafuata nyao za Pinda, wakaona ni heri walaumiwe na ikibidi wawe tayari kwa next/level (lawama), hata kushusha status, lakini ni heri waiondoe ile thread kuliko kuendelea kuliongelea suala lile nyeti(for good also).
Mtazamo wangu na natumaini ndivyo itakuwa kwa wana JF wengi, kwangu au kwetu kamwe status zenu hazitashuka, mumefanya mengi kufika hapa tulipo. Kuondolewa kwa thread ile ni all for good, hakubadilishi hali, isipokuwa inaweza ikawa ni ugunduzi mpya ndani yake wenye ujio wa kivingine.
Kwa wafanyakazi wana Descriptions wao hujua nini hutokea kushindwa kuzi-follow na ku-fulfill hizo descriptions, wafanyabiashara wana plans kuna kipindi huwa zina go soar, hawa itokeapo malengo yao yasitimie huwa wanatengeneza promises na ways na to avoid failures.
Sisi wengine tuna missions, huwa inatokea tunashindwa kuzi-accomplish, japo hutugharimu lakini tunazichukulia kama changamoto na kuongeza commitments katika mikakati ijayo.
Huu si wakati wa harakati, bali ni wakati wa mapinduzi halisi......hivyo tusimame na kupambana kwa nia, yaliyotokea hapa ni yetu sote, hatutamuacha mpambanaji yeyote nyuma bali kwa kila atakaye dondoka tutampa a suppoting hand na kuendelea kusonga mbele, mpaka kwenye mstari wa mafanikio.
My Conclusion - Nadhani sasa tumejifunza kitu na kumuelewa Pinda. Na halii tuichukue kama gauge ya kupima mazingira yanayotukabili na tuliyoamua kukabiliana nayo.
Tupo pamoja.