Shantel
JF-Expert Member
- Feb 7, 2011
- 2,018
- 1,131
Ahsante sana sana sana kwa kuliona hilo khaaaaaahahahahahaaaa lol mijitu mingine huwa sijui ya shamba, eti niandikie msg nzuri wapo wengi tu mwali
Ahsante sana sana sana kwa kuliona hilo khaaaaaahahahahahaaaa lol mijitu mingine huwa sijui ya shamba, eti niandikie msg nzuri wapo wengi tu mwali
Nipitwe nichekwe lol haipo hiyoInaelekea huwa hutaki upitwe hata na sekunde ili kujua kinachoendelea hahahahah lol! Hongera zako BB!
Inaonekana unaogopa kesi sana BAKHapana BB! miye siye niliyeleta issue ya kutingisha kichwa
:focus:
Habari wakuu, hivi wasichana wenzangu mshaona hii , unamwandikia email, au sms, au barua ndeeefu mpenzi wako halafu yeye anajibu maneno mawili, matatu..... mie binafsi naona hii wanaoathirika zaidi ni wanawake, cause tunapenda sana kujielezea hisia zetu kwa mapana na marefu... unaweza mwambia mpenzi wako jinsi unavyompenda ukajielezea kurasa mbili yeye akakujibu mistari miwili tu, au na mimi pia...
hapo mnakuwa mmetuvunja nguvu sana, au umechukia kitu mko mnaongea utaongea masaa matatu yeye atakujibu nimekusikia nisamehe, hamuoni kwamba mnatakiwa mjielezee kidogo ingalau kumpa moyo mwenzio... inakukutaga hii embu niambieni wanaokutana na hali hii wanajisikiaje? mie huwa nakasirika mara mbili yake
sasa tufanyeje maana miaka na miaka tupo nanyi lakini tunashindwa kuwaelewa kabisa, mbona mnapokuja juu na sisi tukinyamaza mnatuambia tuna viburi???Blackberry,
Unakumbuka wakati ninakutongoza nilivyoshuka mistari? Kadri ulivyokuwa mgumu kunikubalia, ndivyo nilivyozidi kushuka mistari. Nikatuma emails kibao. Nikatuma sms kibao. Barua pia nilituma. Still ukanitolea nje. Baadae ikanibidi nibadilishe strategy. Nikaingia kwa gia ya vitendo na wewe ukaingia line taratiiiiiibu. Kwa hiyo tokea tuanze uhusiano wetu, nikitaka kukuonyesha kuwa nakupenda, nitakuonyesha kwa vitendo. Juzi tuu ulinitunia sms ndeeefu lakini nzuri sana, na niliipenda. I have to admit that. lakini nilikujibu tuu kuwa kifupu. "I luv u 2 bby. c u @ hom". Najua hupenda kwa kukuandikia sms fupilakini kweli nipofika nyumbani nilifanya kweli kwa vitendo, mwenyewe ukafurahi kichizi. Leo tena umenitumia message ndeeeefu kama ile ya juzi ukitegmea nitakujibu kwa kifupi halafu nitakuja kumalizia kwa vitendo nikirudi home.
Najua wewe unapenda kunionyesha unanipenda kwa meneno zaidi, lakini kwa bahati mbaya tunatokea planets tofauti. Unatokea Venus, mie natokea Mars. Kwa hiyo the way tunavyowasiliana ni tofauti. Sisi wa Mars hatuongei ile sanaaa vile. Hata tunavyoongea wenyewe kwa wenyewe, tunaongea kwa kifupi sana, save pale tunapojadili masuala ya mpira hehe hee. Na The Boss amesema hapo tukiwa na hela ndio kwanza maongezi kwa vitendo yanazidi.
Blackberry,
Unakumbuka wakati ninakutongoza nilivyoshuka mistari? Kadri ulivyokuwa mgumu kunikubalia, ndivyo nilivyozidi kushuka mistari. Nikatuma emails kibao. Nikatuma sms kibao. Barua pia nilituma. Still ukanitolea nje. Baadae ikanibidi nibadilishe strategy. Nikaingia kwa gia ya vitendo na wewe ukaingia line taratiiiiiibu. Kwa hiyo tokea tuanze uhusiano wetu, nikitaka kukuonyesha kuwa nakupenda, nitakuonyesha kwa vitendo. Juzi tuu ulinitunia sms ndeeefu lakini nzuri sana, na niliipenda. I have to admit that. lakini nilikujibu tuu kuwa kifupu. "I luv u 2 bby. c u @ hom". Najua hupenda kwa kukuandikia sms fupilakini kweli nipofika nyumbani nilifanya kweli kwa vitendo, mwenyewe ukafurahi kichizi. Leo tena umenitumia message ndeeeefu kama ile ya juzi ukitegmea nitakujibu kwa kifupi halafu nitakuja kumalizia kwa vitendo nikirudi home.
Najua wewe unapenda kunionyesha unanipenda kwa meneno zaidi, lakini kwa bahati mbaya tunatokea planets tofauti. Unatokea Venus, mie natokea Mars. Kwa hiyo the way tunavyowasiliana ni tofauti. Sisi wa Mars hatuongei ile sanaaa vile. Hata tunavyoongea wenyewe kwa wenyewe, tunaongea kwa kifupi sana, save pale tunapojadili masuala ya mpira hehe hee. Na The Boss amesema hapo tukiwa na hela ndio kwanza maongezi kwa vitendo yanazidi.
Mbu bwana inalau mchukue muda wenu mtupe mashairi kidogo kama kipindi mnatutongoza, hapo ndio maana wadada walioolewa wakikutana na malenga wetu wanapagawa kwa misemo yao...asente asente kaka, waambie bana.
Maneno yote tunayaongea na kuyamalizia wakati wa 'kujenga msingi, ukuta na kuezeka paa!' Tukishahamia tunawaachia nyie kufanya maintenance ndogo ndogo za ndani...
Msichoke jamani,...'Kama maneno hata kwenye khanga yapo!' tena mnatafsiri kwa mapana na marefu.
Mtuvumilie jamani...ray2: :boom:
sasa tufanyeje maana miaka na miaka tupo nanyi lakini tunashindwa kuwaelewa kabisa, mbona mnapokuja juu na sisi tukinyamaza mnatuambia tuna viburi???
Mbu bwana inalau mchukue muda wenu mtupe mashairi kidogo kama kipindi mnatutongoza, hapo ndio maana wadada walioolewa wakikutana na malenga wetu wanapagawa kwa misemo yao
Habari wakuu, hivi wasichana wenzangu mshaona hii , unamwandikia email, au sms, au barua ndeeefu mpenzi wako halafu yeye anajibu maneno mawili, matatu..... mie binafsi naona hii wanaoathirika zaidi ni wanawake, cause tunapenda sana kujielezea hisia zetu kwa mapana na marefu... unaweza mwambia mpenzi wako jinsi unavyompenda ukajielezea kurasa mbili yeye akakujibu mistari miwili tu, au na mimi pia...
hapo mnakuwa mmetuvunja nguvu sana, au umechukia kitu mko mnaongea utaongea masaa matatu yeye atakujibu nimekusikia nisamehe, hamuoni kwamba mnatakiwa mjielezee kidogo ingalau kumpa moyo mwenzio... inakukutaga hii embu niambieni wanaokutana na hali hii wanajisikiaje? mie huwa nakasirika mara mbili yake
Poa, ok, sawa, ni maneno nisiyoyapenda kamwe we umeandika misitari ya kufa mtu yeye anajibu hivyo sijui wakoje hawa viumbe
Ni tofauti ya kibailojia....
Sio kosa letu....
Ukitaka mwanaume akupe kurasa mbili za maelezo
basi usimvulie nguo....
The moments tukisha nanihi
tunarudi kuwa wanaume...
Its a nature.usitulaumu
Dena Amsi,
Najua kweli huwa mnaboreka sana. Of course, inaudhi pale unapoandika msitari ya kufa mtu lakini unajibiwa kwa mstari mmoja. Hapo mtu mwingine anaweza kuchukulia kama dharau vile. Lakini sio kweli kuwa wanaume hatuongei. Wanaume wanaongea tena sana tuu. Kitu ambacho wanaume hawaongelei ni feelings zao za kimapenzi. Na jamii imejenga tabia kuwa ni ajabu mwanaume kuongea feelings zake za mapenzi hasa kwenye public. Kwa mfano unakumbuka Tom Cruise alivyorukaruka kwenye sofa la Oprah akielezea jinsi anavyompenda Kate ambaye sasa ni mke. Unakumbuka reaction ya public ilikuwaje? Kwa hiyo jamii nao inachangia.
Lakini ukweli ni kwamba ilipokuja suala la feelings, wanaume tunakuwa na wakati mgumu sana ku-jiexpress wenyewe ukilingansiha na wanawake. Ndio maana hata tunapowatongoza wakati mwingine tunachemka ile mbaya lakini bado mnatukubali kwa vile mnajua wazi kuwa sisi ni wagumu sana kuji-express feelings zetu. Wakati mwingine kusema tuu "I love you" ni suala kubwa kwa wanaume wengine. Kwa wanaume wengine kusema vitu vidogo kama hivi inahitaji effort kubwa sana. Lakini ni rahisi sana kwa mwanamke kusema "I love you".
Lakini cha kufurahisha, linapokuja suala la ugomvi, wanawake wanapenda sana kuficha sababu (hisia) za kugombana. Angalia kwa mfano kwenye suala la domestic violence. Kuna wanawake wanapigwa sana na wanaume zao, lakini hawasemi. Hata uwabane kivipi, watakaa kimya au watatoa sababu nyingine. Lakini kwa wanaume, kunapotokea ugomvi, huwa wanataka kuruka sehemu ya maongezi na kuendelea ASAP kwenye mabusu and ku-make up. Kuna sababu kuu tatu zinazofanya wanaume washindwe ku-express feelings zao za kimapenzi. nitaazieleza baadae nisije na mimi nikaandika sana.
Lakini kumbukeni kuna kipindi Bujibuji alianzisha thread akataka kujua jinsi ya kumwambia mkewe kuwa anampenda. Alisema kuwa anaona kumwambia "I Love you" halina mshiko. Limekuwa too common. Wanawake wa JF mkamshauri kuwa ampende mkewe kwa vitendo na kuwa maneno haya tija. Kinachomata ni matendo.
<br />Dena Amsi,<br />
<br />
Najua kweli huwa mnaboreka sana. Of course, inaudhi pale unapoandika msitari ya kufa mtu lakini unajibiwa kwa mstari mmoja. Hapo mtu mwingine anaweza kuchukulia kama dharau vile. Lakini sio kweli kuwa wanaume hatuongei. Wanaume wanaongea tena sana tuu. Kitu ambacho wanaume hawaongelei ni feelings zao za kimapenzi. Na jamii imejenga tabia kuwa ni ajabu mwanaume kuongea feelings zake za mapenzi hasa kwenye public. Kwa mfano unakumbuka Tom Cruise alivyorukaruka kwenye sofa la Oprah akielezea jinsi anavyompenda Kate ambaye sasa ni mke. Unakumbuka reaction ya public ilikuwaje? Kwa hiyo jamii nao inachangia. <br />
<br />
Lakini ukweli ni kwamba ilipokuja suala la feelings, wanaume tunakuwa na wakati mgumu sana ku-jiexpress wenyewe ukilingansiha na wanawake. Ndio maana hata tunapowatongoza wakati mwingine tunachemka ile mbaya lakini bado mnatukubali kwa vile mnajua wazi kuwa sisi ni wagumu sana kuji-express feelings zetu. Wakati mwingine kusema tuu "I love you" ni suala kubwa kwa wanaume wengine. Kwa wanaume wengine kusema vitu vidogo kama hivi inahitaji effort kubwa sana. Lakini ni rahisi sana kwa mwanamke kusema "I love you".<br />
<br />
Lakini cha kufurahisha, linapokuja suala la ugomvi, wanawake wanapenda sana kuficha sababu (hisia) za kugombana. Angalia kwa mfano kwenye suala la domestic violence. Kuna wanawake wanapigwa sana na wanaume zao, lakini hawasemi. Hata uwabane kivipi, watakaa kimya au watatoa sababu nyingine. Lakini kwa wanaume, kunapotokea ugomvi, huwa wanataka kuruka sehemu ya maongezi na kuendelea ASAP kwenye mabusu and ku-make up. Kuna sababu kuu tatu zinazofanya wanaume washindwe ku-express feelings zao za kimapenzi. nitaazieleza baadae nisije na mimi nikaandika sana.<br />
<br />
Lakini kumbukeni kuna kipindi Bujibuji alianzisha thread akataka kujua jinsi ya kumwambia mkewe kuwa anampenda. Alisema kuwa anaona kumwambia "I Love you" halina mshiko. Limekuwa too common. Wanawake wa JF mkamshauri kuwa ampende mkewe kwa vitendo na kuwa maneno haya tija. Kinachomata ni matendo.
...ama wewe umewafahamu vizuri sana, ha ha ha...
Leo wanalalama tuongezee maneno, kesho watasema tulie japo kidogo!
Shughuli!
<br />
<br />
Thanx kwa hii misitari lazima aingie line sawa?! Usijesema nimejibu kidogo maana nimesoma mpaka nimepata usingizi kwa jinsi misitari ilivyosimama thanx again
<br />pole,<br />
lakini si ndio ngonjera mnazozipenda hizi?
BB kweli inauma kama umejitutumua na kuangusha mistari ya maana ila nadhani wengi wa wanaume wako hivyo.
Mie nimekuwa short and clear kuendana nao..napenda kuandika 'love, ratiba?' 'mpz, nakuhitaji. tuonane' 'love, za leo' 'sorry kuhusu jana' najua majibu yatakuwa kwa kifupi pia na vitendo juu.. halafu nimeshazoea ok, thanks, sawa, mida, later nk..na mie najibu hivyo hivyo nikipata texts.
Ila stori ndefu sipendagi mana huwa wanalazimika kudanganya wakati wamezoea kufanya vitendo zaidi..