Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,645
Manabii wa andiko na hawa hapa:Manabii wa siku hizi wanajikoboa? anyway mkimuona muulizeni kama yeye ndiye yule wa kwenye maandiko au tusubiri mwingine?
(Yule mtoto Issah/Yesu) Akasema: Hakika mimi ni mja wa Mwenyezi Mungu, amenipa Kitabu (Injil) na (M'Mungu) amenifanya Nabii. Quran:19:30.
'' Na mtaje Ibrahim katika kitabu (Qur'an) hiki. Bila shaka yeye alikuwa mkweli sana, Nabii. Q:19:41.
'' Tulimpa (Ibrahim) Is'haka na Yakuub, na kila mmoja tukamfanya Nabii. Q:19:49.
'' Mtaje Musa katika kitabu, hakika yeye alikuwa ni mwenye kuchaguliwa, na alikuwa Mtume, Nabii. Tukambpa nduguye, Harun, awe Mtume, Nabii. Mtaje katika kitabu Ismail ....alikuwa Mtume, Nabii. Mtaje Idris ........alikuwa mkweli sana na Nabii.
'' Hao ndio aliowanedmesha Mwenyezi Mung, miongoni mwa Manabii, katika kizazi cha Adam, na katika wale Tuliowachukuwa pamoja na Nuhu (katika Safina) na katika kizazi cha Ibrahim na Israel (akiwamo Yesu) na katika wale Tuliowaongoza na Tukawachaguwa. Wanaposomewa ayaya Rahman (M'Mungu) huanguka kusujudu na kulia. Q:19:51-58.