Chivundu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2012
- 7,200
- 5,369
????tuvumiliane kaka..manake unajiuliza na kujijibu we ni#mburukenge.
Neno mburukenge umenikumbusha mbali sana!
????tuvumiliane kaka..manake unajiuliza na kujijibu we ni#mburukenge.
Sasa kama mnamkubali ni kwa nini hamumpi uenyekiti wa CCM taifa? Unafiki mtupu!Wazalendo wa Kitanzania tunamkubali sana Zitto Kabwe! Akina Mbowe na wafuasi wake ndio wanampiga vita!
kashaazisha chama mfuate huko.Wazalendo wa Kitanzania tunamkubali sana Zitto Kabwe! Akina Mbowe na wafuasi wake ndio wanampiga vita!
Lawama ziende kwa DR. Kitila Mkumbo kwa kumwigiza chaka.
Nabii wa intarahamwe! Ila bahati mbay unabii wake haukutimia!
Mbona huu uzi umepostiwa sana humu jukwaani tangu jana na ID's tofauti tofauti??
iyo ni kwa sababu mhusika ni mtu mzitto na influential sana kwa vijana
karibu tujadili