Mohamedi mtamike
New Member
- Apr 6, 2012
- 2
- 0
Ukweli halisi dini ni kikwanzo kikubwa katika mahusiano na si kwamba masikia tu bali hata mimi nimekubwa na mkasa huu na kutana na wapenzi wa kristo na wisho huwa ni tofauti za kidini so nazani ni bora muislam ampende muislamu .kwa ushauli wangu kama unapenda kuishi na kufulahia fulsa ya mapenzi kwa mpenzio tafuta dini yako na makabira co tatizo sana