Jana nilikuwa najipitia zangu,nilipita pale kwenye jengo la NSSF(AKIBA)nikasimamishwa na mzungu mmoja mtu wa makamo kavalia nadhifu ,akaniuliza samahani unajua kiingereza nikasema ndio ,loo ikawa nimechokoza nyuki akaanza kuniambia ana matatizo na dada yake ,hadi sasa kaishiwa hela anaomba nimsaidie hata elfu kumi au hata elfu tano nikasema sina hiyo hela mwishowe nikamuachia elfu mbili akasema mungu akubariki ,lakini nina wasiwasi na huyo mtasha asije kuwa muongo,lakini hii ni Bongo huenda nitaonana naye tena na akaniomba kwa sababu zilezile
Yaa ok jamaa ameshakupata, anafanya research kuangalia umasikini wa kipato na ujinga wa walami wa kutokujua kuwa hawatakiwi kutoa hela kiulaini coz hawana.
Kwa hiyo hutaki kuamini kuwa wazungu katika mazingira fulani wanaweza kukosa hata mia?Kama inavyoweza kutokea kwa mtu wa rangi yeyote ile?
Jana nilikuwa najipitia zangu,nilipita pale kwenye jengo la NSSF(AKIBA)nikasimamishwa na mzungu mmoja mtu wa makamo kavalia nadhifu ,akaniuliza samahani unajua kiingereza nikasema ndio ,loo ikawa nimechokoza nyuki akaanza kuniambia ana matatizo na dada yake ,hadi sasa kaishiwa hela anaomba nimsaidie hata elfu kumi au hata elfu tano nikasema sina hiyo hela mwishowe nikamuachia elfu mbili akasema mungu akubariki ,lakini nina wasiwasi na huyo mtasha asije kuwa muongo,lakini hii ni Bongo huenda nitaonana naye tena na akaniomba kwa sababu zilezile
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaNilivutiwa kutaka kujua NSSF kwanini imetajwa, kunatolewa pesa pale !!, Lakini kumbe ni ombaomba....napita !!!
Jana nilikuwa najipitia zangu,nilipita pale kwenye jengo la NSSF(AKIBA)nikasimamishwa na mzungu mmoja mtu wa makamo kavalia nadhifu ,akaniuliza samahani unajua kiingereza nikasema ndio ,loo ikawa nimechokoza nyuki akaanza kuniambia ana matatizo na dada yake ,hadi sasa kaishiwa hela anaomba nimsaidie hata elfu kumi au hata elfu tano nikasema sina hiyo hela mwishowe nikamuachia elfu mbili akasema mungu akubariki ,lakini nina wasiwasi na huyo mtasha asije kuwa muongo,lakini hii ni Bongo huenda nitaonana naye tena na akaniomba kwa sababu zilezile
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Yaa ok jamaa ameshakupata, anafanya research kuangalia umasikini wa kipato na ujinga wa walami wa kutokujua kuwa hawatakiwi kutoa hela kiulaini coz hawana.
Siku nyingine ukikosa nauli usitembee hadi Mwenge, kuna umbali wa kutosha. Subiri daladala ifike, piga debe kuita abiria, halafu dandia mlangoni, konda atajua wewe ni 'staff' !Mimi nimeshawahi kutingwa nikatembea posta mwenge..niliikubali hali ile na maisha yakaendelea. Nilitamani kuomba hata mia..ingetosha nauli wakati ule lakini nikakomaa!