Mr Penal Code
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 823
- 213
hosteli ukiwahi unapata na kawaida mwaka wa kwanza wote lazima mkae ndani ya chuo!! weh ukiwahi lazima upate hosteli ..angalizo: jitahidi kufanya usajili mapema!
pouwer tunashukuru sna je wale ambao wanasoma diploma na cheti nao wanakaa na watu wa degree au.