Mzee wa upako amejitokeza hadharani na kuishambulia CCM na viongozi wake,
Source : Gazeti Nyakati leo
Miezi iliyopita mzee wa upako alihubili kanisani kwake akisema kuwa viongozi wa juu CCM wana viroboto kichani na kwamba wasipobadilika muda mfupi ujao atawaroga!
Watafiti wa mambo ya kisiasa wanasema mzee wa upako amekuwa kampeni manaja wa rais kikwete katika uchaguzi wa mwaka 2010 lakini baada ya dhana ya kujivua gamba yeye alimshauli kikwete asifanye hivyo lakini hawakukubaliana.
Kutokana na mgogoro huo mzee wa upako akaamua kumuunga mkono Lowassa na sasa yupo kambi ya Lowassa. Kambi ya Lowassa inamhusu askof Thomas Laizer, Askof Mgullu Kilimba, askofu Mokiwa na wengine
Mpaka sasa Lowassa amefanikiwa kupata mtandao ndani ya makanisa kupitia viongozi hawa wa dini.
Ziara za Lowassa makanisani zinaendelea na wiki hii alipanga kwenda mkoa wa Mara lakini wana CCM wamepiga kelele na ziara yake kuahirisha ambapo itaendeshwa na mh. Kabaka .
Ukweli ni kwamba baadhi ya wachungaji wanapokea pesa za anasiasa kwa maslahi ya uchaguzi 2015.
- Amesema maendeleo ya CCM ndani ya miaka 50 ni sawa yapo mbali sana na kuyafananisha na mtu mzima kuvaa nepi.
- Amesema CCM imekuwa inalindwa na vombo vya dola na usalama wa taifa ndio unaohusika na kuiweka madarakani!
- Amesema bila watu wa usalama wa taifa mtu hawazi kushinda!
Source : Gazeti Nyakati leo
Miezi iliyopita mzee wa upako alihubili kanisani kwake akisema kuwa viongozi wa juu CCM wana viroboto kichani na kwamba wasipobadilika muda mfupi ujao atawaroga!
Watafiti wa mambo ya kisiasa wanasema mzee wa upako amekuwa kampeni manaja wa rais kikwete katika uchaguzi wa mwaka 2010 lakini baada ya dhana ya kujivua gamba yeye alimshauli kikwete asifanye hivyo lakini hawakukubaliana.
Kutokana na mgogoro huo mzee wa upako akaamua kumuunga mkono Lowassa na sasa yupo kambi ya Lowassa. Kambi ya Lowassa inamhusu askof Thomas Laizer, Askof Mgullu Kilimba, askofu Mokiwa na wengine
Mpaka sasa Lowassa amefanikiwa kupata mtandao ndani ya makanisa kupitia viongozi hawa wa dini.
Ziara za Lowassa makanisani zinaendelea na wiki hii alipanga kwenda mkoa wa Mara lakini wana CCM wamepiga kelele na ziara yake kuahirisha ambapo itaendeshwa na mh. Kabaka .
Ukweli ni kwamba baadhi ya wachungaji wanapokea pesa za anasiasa kwa maslahi ya uchaguzi 2015.