pamoja na hayo yote ya mzee wa upako,lakini tunajifunza nini kwa wana siasa wetu kuwatumia viongozi wa dini,kiasi cha kusemekana kuwa wako kwenye mitandano ya wanasiasa.na hasa wanapohusishwa na mbio za uraisi 2015.
Ikumbukwe wanasiasa hawa wanatoka chama tawala.kuna nini hapo cha kujifunza na kikaweza kuiokoa nchi hii
Ikumbukwe wanasiasa hawa wanatoka chama tawala.kuna nini hapo cha kujifunza na kikaweza kuiokoa nchi hii