tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 21,835
- 18,249
Na kama hawamuogopi baada ys kumkata wangekuwa hawamfuatifuati kama mbwa anavyomfuata mfugaji wake.Kama anaogopwa wasingemkata
Na kama hawamuogopi baada ys kumkata wangekuwa hawamfuatifuati kama mbwa anavyomfuata mfugaji wake.Kama anaogopwa wasingemkata
CCM hata wakiona Mmasai Mchungaji Ng"ombe Adrenalin Hormones zaonzinakuwa juu Sana kama wameona Simba vileKama CCM wangekuwa wanamuogopa Lowassa unadhani wangetumia kalamu ya Bic kulikata jina lake?
Jaribuni basi hata kutumia common sense au ndio yale yale kuwa common sense is not common!
Ni sawa na kufahamu haya ni mavi lakini baada ya kumuona fulani anakula basi na wewe unaanza kula badala ya kujiuliza kwanza kwa nini anakula mavi.
Si ajabu mama alipata mimba nje ya ndoa ila sasa hivi unadai haki kama uko kwa baba halaliMianya ya ufisadi na wizi serkalini imefungwa kwa hiyo sasa hivi kina Mzee wa Upako hawapati sadaka nyingi Kama zamani.
Swali muhimu ni kwanini CCM kinapatishwa shida na Lowassa?Swali la kukatwa akiwa ccm mbona umelikwepa? Mtu maarufu kuliko chama unaanza kumkata?