mageuzi1992
JF-Expert Member
- Apr 9, 2010
- 2,503
- 252
Mimi natabiri leo wingu litaonekana kwa masaa mengi kuliko jua>>>>>>>>>>>>>>>na uwezekano wa kunyesha mvua upo
Angeamru zinyeshe mtela kina chamaji kiongezeke tuachane na mgawo wa umeme!!
Juzi nilikuwa guest fulani naangalia tv....nikavutiwa na mzee wa upako Antony Lusekelo akifanya mahojiano na chanel 10...alisema aliamuru katika mikoa baadhi akaitaja Singida,Dar nk mvua inyeshe tarehe 9....
...akasema sasa hivi Dar mawingu yameshaanza kutanda....na kweli nasikia Dar mvua imenyesha juzi 10/feb 2011...pia alisema kwa anaebisha ajitokeze kama yeye kwenye TV na ataamuru ukame utokee...kasema ana uwezo huo...
Mzee wa Upako ni asset kubwa kwa Watanzania....tumtumieni wakuu...
Inabidi na mimi unikubali! Nina nguvu sawa na Huyo. Nimeamuru jua liwake leo
ndio mkuu.......3star hotel.....Ulikuwa 'guest' lakini ukiangalia mahubiri!!" lol...
Amen, I wish awaamuru mafisadi waangue paaaah chini!!!!!
tapeli tu. Kama anajiamini ya nn kufanya matangazo kwenye matelevision.
Inabidi na mimi unikubali! Nina nguvu sawa na Huyo. Nimeamuru jua liwake leo
Same question!! Juzi alikuwa anaji-promo channel ten, kitapeli-tapeli. Hehe, wewe uliona wapi nabii kada wa chama tawala? Sadaka za mama zetu zinamuweka town, na msipostuka mapema ataendesha Hummer kama yule wa kanisa la ufufuo na uzima,.
Siku Mungu akirudi atawacharaza bakora za tumbo wanaotumia jina lake kujipatia shekeli za maskini. Wapo wengi sana leo hii.
Juzi nilikuwa guest fulani naangalia tv....nikavutiwa na mzee wa upako Antony Lusekelo akifanya mahojiano na chanel 10...alisema aliamuru katika mikoa baadhi akaitaja Singida,Dar nk mvua inyeshe tarehe 9....
...akasema sasa hivi Dar mawingu yameshaanza kutanda....na kweli nasikia Dar mvua imenyesha juzi 10/feb 2011...pia alisema kwa anaebisha ajitokeze kama yeye kwenye TV na ataamuru ukame utokee...kasema ana uwezo huo...
Mzee wa Upako ni asset kubwa kwa Watanzania....tumtumieni wakuu...
Ilo nalo neno maana mjini hapa MATAPELI ni wengi na wana mbinu nyingi jamani dunia hiiii!! Wapi tuendako!!!?Same question!! Juzi alikuwa anaji-promo channel ten, kitapeli-tapeli. Hehe, wewe uliona wapi nabii kada wa chama tawala? Sadaka za mama zetu zinamuweka town, na msipostuka mapema ataendesha Hummer kama yule wa kanisa la ufufuo na uzima,. Siku Mungu akirudi atawacharaza bakora za tumbo wanaotumia jina lake kujipatia shekeli za maskini. Wapo wengi sana leo hii.
Inabidi na mimi unikubali! Nina nguvu sawa na Huyo. Nimeamuru jua liwake leo