Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,889
- 32,289
samahani mkuu hivi kumbe manabii wanatakiwa wawe makada wa vyama vya upinzani?
duu!!
samahani mkuu hivi kumbe manabii wanatakiwa wawe makada wa vyama vya upinzani?
Inabidi na mimi unikubali! Nina nguvu sawa na Huyo. Nimeamuru jua liwake leo
nawewe acha ushamba na mawazo ya kizamani hii ni karne nyingine ya kufunguka ubongo na kuelewa mambo kwa mapana wenyewe wanasema u must view things in 3dimension, sikiliza ndugu kwenda gest si lazima ufanye yale unayoyafikiria - mtu anaweza kwenda gest kama nyumba ya kupumzikia wageni. upo hapo man!Ulikuwa 'guest' lakini ukiangalia mahubiri!!" lol...
watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
Juzi nilikuwa guest fulani naangalia tv....nikavutiwa na mzee wa upako Antony Lusekelo akifanya mahojiano na chanel 10...alisema aliamuru katika mikoa baadhi akaitaja Singida,Dar nk mvua inyeshe tarehe 9....
...akasema sasa hivi Dar mawingu yameshaanza kutanda....na kweli nasikia Dar mvua imenyesha juzi 10/feb 2011...pia alisema kwa anaebisha ajitokeze kama yeye kwenye TV na ataamuru ukame utokee...kasema ana uwezo huo...
Mzee wa Upako ni asset kubwa kwa Watanzania....tumtumieni wakuu...
Samahani mkuu hivi kumbe manabii wanatakiwa wawe makada wa vyama vya upinzani?
nawewe acha ushamba na mawazo ya kizamani hii ni karne nyingine ya kufunguka ubongo na kuelewa mambo kwa mapana wenyewe wanasema u must view things in 3dimension, sikiliza ndugu kwenda gest si lazima ufanye yale unayoyafikiria - mtu anaweza kwenda gest kama nyumba ya kupumzikia wageni. upo hapo man!
HATA WEWE SIKU MOJAMOJA UKIONA NYUMBANI PANAKUZINGUA WE NENDA GEST KATULIZE KICHWA KWA MSONGO WA MAWAZO OK?
Alete umeme!
Pia alisema kwa anaebisha ajitokeze kama yeye kwenye TV na ataamuru ukame utokee...kasema ana uwezo huo...