All genome sequencing is revealing that COVID19 has no characteristics of a typical Corona virus pointing to a Lab created virus !!'Long term effects' zinatokana na kile kilichomo kwenye chanjo, sio 'speculations'. Wataalamu wamefanya 'sequencing' na kuthibitisha kwamba hakuna kilichomo kwenye chanjo kinachoweza kuwa na 'Long term effects'
Jamani, Mzee Makamba ni msemaji wa CCM? hivi hana wajukuu wa kuwasimulia hadithi na hivyo kuwa bize??Mzee Makamba anasema Askofu Gwajima na Polepole hawavumiliki ndani ya CCM kwakuwa wamekuwa wamekuwa wakipingana na Serikali hasa kwenye swla hili la chanjo.
Mzee Makamba anasema baadhi ya viongozi wa CCM wamekuwa wakimdharau sana Rais samia hivyo ametaka washughulikiwe mara moja.
Mzee Makamba anasema yeye si msemaji wa CCM lakini anashangaa ukimya wa baadhi ya Wana CCM na viongozi wa CCM hasa katika hali ya Rais kuonekana ana dharauliwa na baadhi ya wana CCM.
Mzee Makamba ametaka wana CCM kuwachukulia hatua Gwajima na Pole pole.. kwani hawavumiliki.
Chanzo: Magazeti
Wazee kama makamba walishakosa dira ashabakiza umwinyi wa katanga tu haha lolote!Kufa hata wewe unasubiri kufa ntymbu wa makengeza. Tena unaweza ujafa wewe yeye akabaki.
Kama unatetea uhuru wa maoni wa Gwajima, unapinga vipi tena uburu wa maoni wa Makamba ?
Usipoteze muda kuwaelimisha idiots.'Long term effects' zinatokana na kile kilichomo kwenye chanjo, sio 'speculations'. Wataalamu wamefanya 'sequencing' na kuthibitisha kwamba hakuna kilichomo kwenye chanjo kinachoweza kuwa na 'Long term effects'
Ikulu ya nyumbani kwake! Hivi huyu makamba mdogo unaona kabisa anauwezo wa kuwa Rais ni mtu mswahili tu hana utendaji wowote ni jk wapili!Huyu mzee atulie kwanza. asije akamharibia mwanae njia ya kwenda Ikulu.
Kipindi kile walipigwa pini kwa sababu hizi hizi na kutaka kujionesha yupo.
Isingekua wale wabunge wa covid 19, barua yao ya kufukuzwa ingekua inazurula mitandaoni.Mzee Makamba anasema Askofu Gwajima na Polepole hawavumiliki ndani ya CCM kwakuwa wamekuwa wamekuwa wakipingana na Serikali hasa kwenye swla hili la chanjo.
Mzee Makamba anasema baadhi ya viongozi wa CCM wamekuwa wakimdharau sana Rais samia hivyo ametaka washughulikiwe mara moja.
Mzee Makamba anasema yeye si msemaji wa CCM lakini anashangaa ukimya wa baadhi ya Wana CCM na viongozi wa CCM hasa katika hali ya Rais kuonekana ana dharauliwa na baadhi ya wana CCM.
Mzee Makamba ametaka wana CCM kuwachukulia hatua Gwajima na Pole pole.. kwani hawavumiliki.
Chanzo: Magazeti
Hujielewi wewe si ni serikali hiyohiyo ilituambia tusichanje mwaka jana, ila kasema raia ndo mnaanza zengwe! Na huyu raisi si alikuwepo?!Kufanya kazi au kutofanya kazi ni hiari lakini kuwashawishi watu wasifanye kazi, ni kosa.
Unaelewa?
Unaweza kuamua kutochanjwa lakini usishawishi watu kutochanjwa kwa sababu uamuzi wa Serikali na ushauri wa WHO, ni wananchi wapate chanjo. Hivyo huna haki ya kutumia ignorance ya watu kuwapotosha.
Haina tofauti na chanjo za polio, tetekuwanga, kifua kikuu, n.k; wananchi wanashauriwa kuwapeleka watoto wao kuchanjwa, hakuna anayekamatwa kwa nguvu kwenda kumchanja mtoto wake lakini ukipatikana unashawishi wazazi wasiwapeleke watoto wao kupata chanjo, ni kosa kwa sababu unakwenda kinyume na sera ya Taifa na miongozo ya WHO.
Wanajua Sasa nchi ipo mikononi mwa team Kikwete ndo maana wanaropoka watakavyo.Hawa ndo waliiharibu CCM.Uhuru wa kutoa maoni uko wapi?
Wewe hutakufaWewe makamba unatafuta kutukanwa. Si unyamaze, usubiri kufa. Ulifanya yako ukamaliza sasa unakenua meno ya nini? Watu wasiseme? Imperial president unamtetea nini? asisemwe? Rubbish!
Chanjo ni hiari lakini siyo kumvunjia heshima raisi. Nyie gomeni kuchanja lakini kumtukana mama hata kama kuna mambo anakosea si sawa!!!!Mimi ninachojua chanjo ni hiari. Anayetetea kuchanja ana haki sawa na anayekataza watu wasichanje.
Hivyo, wote wapo sawa, wote haki zao ni sawa.
Nitakufa lakii sitawasumbua watu kwa mawazo ya uozoWewe hutakufa
Kama kamvunjia Heshima Rais basi Akamatwe awajibishwe.Chanjo ni hiari lakini siyo kumvunjia heshima raisi. Nyie gomeni kuchanja lakini kumtukana mama hata kama kuna mambo anakosea si sawa!!!!
Issue siyo kukataa chanjo ni kumtukana na kumdharau raisi!!!! Anamdhalilisha sana raisi pamoja na kuwa raisi katuudhi kutuwekea tozo kwenye miamala na luku, si sawa!!Kama kamvunjia Heshima Rais basi Akamatwe awajibishwe.
Lakini kuanza kumnanga kwakua tu hataki chanjo si Jambo jema.