live on
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 792
- 1,268
Magufuli alipokuwa anajiita Raisi wa wanyonge wachache sana ndio tuliyomuelewa ila Kwa Sasa na hili janga la umeme kukatika mara 10 Kila siku Kwa muda wa zaidi miezi 3 Hadi hata wale matahira nahisi Sasa wamesha muelewa Magufuli Kwa Nini alijiita Raisi wa wanyonge
Hu Sasa mwezi 3 umeme unakatwa mfululizo Kila siku mara 10 au zaidi wanyonge wameuliza shida nini hakuna aliyewajibu
Katika hili wananchi wanyonge ndio wanaumia na hawana wa kuwatetea wakipaza sauti hakuna anayejali wao ndio kwanza wapo bize na ma V8 na safari zao za Dar to Dodoma kesho yake wanageuza Dodoma to Dar
Hata ukiangalia matangazo ya solar katika TV siku hizi yamebadirika Yanawalenga watu wa mjini
Tangazo linaanza watu wanaangalia mpira umeme unakatika wanaanbiwa wakanunue solar
Wakati zamani matangazo ya solar yalikuwa yanawalenga watu wa vijijini Yani maeneo ambayo umeme bado haujafika ila Kwa Sasa hakuna tofauti kati ya mijini na vijijini maana mda wote umeme hakuna
Tuongee tu ukweli mambo haya yanayofanywa na Tanesco Kama Magufuli angekuwepo hivi kweli Kuna mtu angebaki pale Tanesco?
Kuna familia ambazo Ili wapate pesa ya kula wanahitaji umeme mfano vinyozi na mafundi wa kuchomelea na wengine wengi tu.
Sasa unapokata umeme bila ya sababu ya msingi bila ya ratiba kama Kuna mgao Ili watu wajue bado hata ukiwaka unakatika katika mara Kwa mara hawa watu wataishi vipi?
Nchi hii mambo hayawezi kuenda bila ya viboko
R.I.P Magufuli
Hu Sasa mwezi 3 umeme unakatwa mfululizo Kila siku mara 10 au zaidi wanyonge wameuliza shida nini hakuna aliyewajibu
Katika hili wananchi wanyonge ndio wanaumia na hawana wa kuwatetea wakipaza sauti hakuna anayejali wao ndio kwanza wapo bize na ma V8 na safari zao za Dar to Dodoma kesho yake wanageuza Dodoma to Dar
Hata ukiangalia matangazo ya solar katika TV siku hizi yamebadirika Yanawalenga watu wa mjini
Tangazo linaanza watu wanaangalia mpira umeme unakatika wanaanbiwa wakanunue solar
Wakati zamani matangazo ya solar yalikuwa yanawalenga watu wa vijijini Yani maeneo ambayo umeme bado haujafika ila Kwa Sasa hakuna tofauti kati ya mijini na vijijini maana mda wote umeme hakuna
Tuongee tu ukweli mambo haya yanayofanywa na Tanesco Kama Magufuli angekuwepo hivi kweli Kuna mtu angebaki pale Tanesco?
Kuna familia ambazo Ili wapate pesa ya kula wanahitaji umeme mfano vinyozi na mafundi wa kuchomelea na wengine wengi tu.
Sasa unapokata umeme bila ya sababu ya msingi bila ya ratiba kama Kuna mgao Ili watu wajue bado hata ukiwaka unakatika katika mara Kwa mara hawa watu wataishi vipi?
Nchi hii mambo hayawezi kuenda bila ya viboko
R.I.P Magufuli