Dr.Chichi
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 2,394
- 631
We nawe acha kusumbua watu.
Jana ulianzisha thread kua una girlfriend ambae bado unampenda ila hataki kuwa na wewe. Jana hiyo hiyo mkarudiana. Jana hiyo hiyo umekutana na X wa tangu 2010 na leo hii simu zako hapokei na unamtaka.
UNABOA SASA. . . . usipotezee watu wengine muda na thread zisizo na mwelekeo.
Lizzy umekuwa mkali kweli siku hz.....