nnunu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2011
- 654
- 230
Pole sana,
wengine ujifunza kupitia makosa ya wengine,
lakini tulio wengi tunajifunza kupitia makosa yetu...
Mungu anakupenda sana kukutenga na mwanamke ambaye,
angekusumbua sana kama mngekuwa mmeoana naye.
Pole sana japo haupo naye tena kwenye maisha yako ya sasa.
wengine ujifunza kupitia makosa ya wengine,
lakini tulio wengi tunajifunza kupitia makosa yetu...
Mungu anakupenda sana kukutenga na mwanamke ambaye,
angekusumbua sana kama mngekuwa mmeoana naye.
Pole sana japo haupo naye tena kwenye maisha yako ya sasa.