Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,780
mianaume ndivyo tulivyo (source: Nyani Ngabu)
Byshanger! Mkumbushe Konnie , amesahau kila nabii huja kwa zama zake ?
mianaume ndivyo tulivyo (source: Nyani Ngabu)
hee dr. mie si kama ambulance tu me ni she hofu ondoa.halafu unaharakishia kuvaa suti wakati nepi hujavaa ndo maana haponi.mi lazima niwe mpiga chabo ngoma naiskia mdundo wake kwanini nisijongee kuona wadundaji
The Katibu umefanya la mbolea ! Kunijuza na umeishusha preasure yangu chini.
Kwa maana lile pimio badala ya kulivaa shingoni , kuna time nililijifunga kiunoni !
We siumemwambia the secretary kuwa nikufuate buzuruga ama kanidanganya? Bas mi ntakufa na wewe my doc
mmmmh jaman bas hata kama bt kidogokidogo sio saaana kama unavyosema
Walaa mshipa usikugonge!
Hebu sasa lala mlalo ulee niliyokuelekeza hivi punde, nataka nianze shughuli ya wito ulionifikisha hapa.
Hata usihofu kazi naifanya taaratiiibu !
Hatua baada ya hatua !
Mbona unahema sana ?
Usiogope hivi ni kawaida tu !
Sawaa doc bt bt doc sa mbona unanimaliuu hivoo jaman haya ngoja kwanza hiyo sindano mbna ndefu
Be calm my patient! Wala haina urefu wa kuumiza!
Unadhani ya kichina ? (maudodo)
walaa!
Haina uchina-uchina hii !
Subiria tu , kidogo tu, stahamili.
Nikimaliza kukudunga na nikiitoa utaniafiki ni ya kawaida!
Kama una fikra ya maumivu tupa kulee!
Nimemahirika kiutoshelevu na fani hii.
Naanza....
sasa doc Judg huyo pacha wangu MA DOUDOU kaingiaje kwenye hiyo sindano radhi lasivyo huyo mgonjwa namletea dr.kutoka kule kwetu kwenye hudumu urafiki kati ya...na TANZANIA KWANZA KASHAANZA KULALAMIKA BORA DR.ASPRIN NAONA HATA WAKINA KONGOSHO HAWALALAMIKI
Hapana jua doc any way ngoja niamke nowGoods under quality from China now days called Maudodou !
Ndiyo kusema hujasikiaga ?
Hapana jua doc any way ngoja niamke now
10:23 mgonjwa unaamka!
It means ulikua kwenye totaly deep usingizi!
Due that, pre-diagnosis ni kwamba umepona kilichobaki nasubiria malipo!
Malipo gani tena na huku umeshajiamini kuwa we ni dr. bingwa
Nyie ndiyo mnasababishaga migomo!
Sasa ma'Doc tukishawatibu mkatulambisha vumbi tutaishije?
Malipo gani tena na huku umeshajiamini kuwa we ni dr. bingwa
Doc judge sema unataka nini... doc anabaki mmmh mmmh aeio anbaki na nakigugumiziiiii hehehhee chezea beibe wewe tena nasty
Mie si nataka ileile?
Kama ya jana!
We wadhani nilikua sutsfied? Kiduchu vile ?
Bila kukuchokozea kwenye hospital churges , ningepataje hayo makitu?
Hence , nataka tena!
Hakuna mbaya ukifanya kama umenisusia hivi !
Afu kigugumizi lazma! Haya makitu hayazoeleki !
Chezeiya utelezi weyee ?