FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,881
- 109,192
Sikia bibie halaf usiniite kijana, nina umri sawa na Babu yako, ukweli lazma usemwe serikali ya ccm inakandamiza sana maisha ya mwananchi wa kawaida na sio kutuleteeni data zenu za kuhadaa raia. Naamini wewe ulipo unalia kivulini hebu jaribu uishi uswazi japo kwa mda mfupi ndo utaelewa ni vipi wananchi wanataabika.
Sikiliza Mzee, data zipi zaidi uzitakazo ambazo unaona hazikuhadai? Pata hii:
Tanzania kwa miaka yote 44 kabla ya Kikwete, Mtanzania hajawahi kuishi chini ya dola moja kwa siku, leo wakati wa kikwete tumelipita hilo kwa zaidi ya asilimia 100 kwa miaka 9 tu. Jiulize, wa kabla yake walikuwepo kwa miaka mingapi wakashindwa hilo ewe mzee?