Tangu Kikwete aingie madarakani wengi tulianza kuwa na wasi wasi hasa pale alipowahi kusema mgao wa umeme utakuwa historia lakini leo anaogopa hata kivuli chake linapokuja suala zima la umeme kwa nchi.
Marais wengine duniani wanahangaika kuona wananchi wao wanapata huduma nzuri za afya, elimu, chakula n.k. lakini Kikwete anahangaika na kufurahisha ulimwengu kwa kutembelea kila nchi kwa kutumia kodi za wananchi tena walio maskini sana.
Mbaya zaidi anawatishia wananchi walio taabani kwa njaa na maradhi eti watapigwa virungu na polisi kama watatimiza haki yao ya kudai uhuru wao kazini, huyu si raisi tulimhitaji Tanzania. Rais Obama anahangaika kupitisha sheria ya bima ya afya ili hata maskini wapate huduma, yeye Kikwete anahangaika na sheria mfu za kukandamiza demokrasia, tena anatia saini bila kuzisoma.
Natoa wito kwa Watanzania, huu ni wakati wa kupiga kura sahihi kwa mtu sahihi lakini siyo Kikwete.
Marais wengine duniani wanahangaika kuona wananchi wao wanapata huduma nzuri za afya, elimu, chakula n.k. lakini Kikwete anahangaika na kufurahisha ulimwengu kwa kutembelea kila nchi kwa kutumia kodi za wananchi tena walio maskini sana.
Mbaya zaidi anawatishia wananchi walio taabani kwa njaa na maradhi eti watapigwa virungu na polisi kama watatimiza haki yao ya kudai uhuru wao kazini, huyu si raisi tulimhitaji Tanzania. Rais Obama anahangaika kupitisha sheria ya bima ya afya ili hata maskini wapate huduma, yeye Kikwete anahangaika na sheria mfu za kukandamiza demokrasia, tena anatia saini bila kuzisoma.
Natoa wito kwa Watanzania, huu ni wakati wa kupiga kura sahihi kwa mtu sahihi lakini siyo Kikwete.