mwanamilembe
Member
- Apr 13, 2010
- 23
- 5
Kwa wale mliosoma Pugu Sekondari kati ya mwaka 1985 -'90's Headmaster Mwalimu Amoni Mtera amefariki dunia jana saa 12 asubuhi kwa kugongwa na gari akiwa pamoja na mkewe na jirani yake wakati wanaeleke Mwisho wa lami Gongo lamboto. kupanda gari kueleke mjini.
Marehemu pamoja na mkewe walifunga ndoa mwaka 1985 wakati wote wakiwa walimu wa Pugu.
Ex Pugu PCM class 1987
Marehemu pamoja na mkewe walifunga ndoa mwaka 1985 wakati wote wakiwa walimu wa Pugu.
Ex Pugu PCM class 1987