Mwitikio wa Wananchi juu ya Mlipuko wa Mabomu Gongo la Mboto

Mabom Mabom!

Uncle wangu alikuwa anaishi mbagala,baada ya mabom ya mbagala akaamua ni heri ahamie gongo la mboto,sasa na huko imekuwa balaa,karibu upande wa nyumba nzima umebomoka

Mi nimemshauri ahamie Kawe sasa hivilabda huko anaweza kuwa salama

vp wadau mnamshauri ahamie wapi labda panaweza kuwa salama zaidi?????
Kawe ni jirani na Kambi la Lugalo, siku likija lipuka utamshauri aende wapi . Mwambie aende sehemu zilizo mbali na shughuli za majeshi ya Tanzania .
 
mwambie aje huku kijijini tulime.. ingawa fedha za kilimo kwanza bado tunazisubiri sijui zimekwama wapi labda pale kitonga!!
 
Kwa hiyo Dar es salaam sio jiji salama tena!because it vulnerable to bombs risks!!!
 
Very sad, very touching nampa pole sana huyo uncle,
nawaombea majeruhi wapone haraka, nawaombea ndugu wa waathirika wapate faraja yake mungu wetu aliyeumba mbingu na nchi na nawaombea marehemu wapate pumziko la milele kwa amani, Amina.

Mabom Mabom!

Uncle wangu alikuwa anaishi mbagala,baada ya mabom ya mbagala akaamua ni heri ahamie gongo la mboto,sasa na huko imekuwa balaa,karibu upande wa nyumba nzima umebomoka

Mi nimemshauri ahamie Kawe sasa hivilabda huko anaweza kuwa salama

vp wadau mnamshauri ahamie wapi labda panaweza kuwa salama zaidi?????
 
mkuu unaishi dar au habari umepewa tu au upo nje ya nchi bado una kumbukumbu ya mbagala?ishu imetokea gongo la mboto

mzambia
  • profile.png
    View Profile
  • forum.png
    View Forum Posts
  • message.png
    Private Message
  • article.png
    View Articles
  • add.png
    Add as Contact
Today 01:13 PM
#1 JF Senior Expert Member


NI MZAMBIA HUYU.
 
Wadau,
Mi nataka kuanzisha maandamano ya kumng'oa waziri Mwinyi na wote wanaohusika na haya mabomu, pamoja na wanaohusika na DOWANS na matatizo mengine yanayotukumba.

Ila kwa sababu nafahamu watanzania wenzangu wanavyopenda maneno zaidi kuliko matendo, ningependa kwanza kutest zali nione ni akina nani watatokea, halafu momentum itajengwa kutokea hapo.

Najua ukitaka kufanya maandamano lazima upate kibali. Na mi nafahamu kuwa kutokana na jamaa wanaotoa taarifa za kiintelijensia kuna chance sitapata hicho kibali.

Kwa hiyo nilichofikiria ni kutoa mualiko wa botro party, na tutakutana kwenye ukumbi fulani, ila nitaubook kwa ajili ya party tu ya kawaida...ila tukifika hapo, kama watakao tokea watakuwa wakutosha, basi tutaorganize tukio kubwa na kuliombea kibao.

Nia ni kufahamu watanzania wangapi wako tayari tuibailishe hii nchi iwe na heshima kwa wananchi badala ya kwa wazee na viongozi.

Naomba maoni wadau
 
At least 32 people have been killed in explosions after an accident at an army base in Tanzania's commercial capital, Dar es salaam, officials say.
The multiple blasts from various arms depots lasted several hours at the Gongo la Mboto military base.
BBC NEWS
 
This is the time, the only time!

Umeme,
Bei ya Bidhaa juu,
Mfumuko wa bei,
Kushuka thamani ya shilingi,
Umaskini wa kipato,
Nauli juu,
Bei ya umeme juu,
Bei ya mafuta juu,
Huduma mbovu za afya,
Kushuka kiwango cha elimu
Barabara mbovu,
Foleni miji mikuu,
Bunge lisilo na meno,
Ufisadi uliokithiri,
Wizi wa pesa za umma
Matumizi ya kifahari wakati wananchi wanataabika
.......................
......................
MABOMU YA GONGO LA MBOTO
Watu wamepotezana
Watu wamekufa
Watu wameumia
Watu wamepoteza makazi yao
Watu hawajala hadi sasa hivi
Waathirika wa Mbagala walitapeliwa na kudhulumiwa
......................................
......................................
SERIKALI ISIYOWAJIBIKA KWA RAIA KABISA
MAISHA MAGUMU KILA UCHAO

Nguvu ya umma sasa au we are doomed forever!!!!!!

Usiogope mkuu,ingia barabarani ukiuwawa utakuwa umetuchochea kulianzisha lakini kama umejificha hapa hakijaeleweka bado zaidi ya kuwasubiria kwenye sanduku la kura.Chama kiwe kipya na si kutokana na vilivyopo sasa.
 
Kwani Arusha kuna kombati ya chama ata moja ililegwa risasi, acheni kuwarubuni watu kwa masilai yenu binafsi. Watu wafe mtengeneze majina yenu.

Aku! mimi sipo kabisa


Wewe una mtindio wa ubongo. Nakubaliana na aliyesema wewe ni kigogo unataka kutuharibia. Tena ukigogo wako ni wa kulipa fadhila maana nafasi hiyo umehongwa. Kamwambie aliyekuhonga sasa wananchi wameschoshwa naye na nguvu ya umma inaamka wakati wowote. Jamani wana JF na wenzetu waliopata maafa na waliopoteza makazi Gongo la Mboto, sasa makazi yetu yanahamia mnazi mmoja. Vigezo alivyoainisha mwenzetu aliyeanzisha hii mada vinatutosha kabisa kujikomboa. Mnazi mmjoja tunaenda lini? Jumatatu mimi naona inafaa maana tutakuwa tumeshajua serikali imetoa tamko gani kuhusu maafa ya mabomu Gongo la Mboto. Please, come one, come all. Nguvu yetu ndiyo ukombozi wetu, na mtaji wetu sisi masikini ni nguvu yetu wenyewe.
 
bongo Hatutaki mambo ya misri,tunisia

Hebu angalia hapa JF mko wangapi ambao hamtaki, hiyo ndiyo reflection ya jamiii nzima. Hata kule misri watawala waliandamana kupinga waandamanaji kwa hiyo usijali, yatatokea tu uwe unataka au hutaki
 
me naona tuwape kama wiki hawa wahanga wa haya mabomu then tuendelee kuhamasishana kulianzisha kwani tukifika kama 50000 sio rahisi kutuzuia pale Tahirir squre aka Mnazi mmoja tukijipanga kusogea magogoni kwani raia wengine watakuwa wamehamasika na kuongezeka.....

Wiki moja watz watasahau, now or never!
 
Back
Top Bottom