Wataisoma namba CHADEMA hiyo magogoni 2015
Wataisoma namba CHADEMA hiyo magogoni 2015
Nilikuwa mbali na net kitambo nimejaribu kutazama hapa kama imepostiwa sijaona
Wote mnalopoka tu hamumjuhi vizuri Mwita Waitara huyu jamaa amesoma Azania kuanzia O'level mpaka high level amesoma miaka ya wakina Robert kato,Mbavu nene, Mwasi na Shafii Dauda kiukweli huyu jamaa ni mtata muda mrefu toka akiwa shule alikuwa haelewani kabisa na Mchwa Mpaka na wanafunzi wenzie hostel,sasa kwenye fujo za huku mtaani sisi tunaomjua mwita hatushangahi ni kawaida yake ukimchanganya anakubutua ni mtu ambaye hapendi sana utani kipindi hicho viongozi wa hostel walikuwa Kamtu na Nyakia badae akaja Joseph Kihogo!
Nimesoma just now toka blog ya *************** kuwa amekamatwa kwa mauaji yaliyotekea juzi hapo Singida, hii ni baada ya kumaliza mkutano na waandishi wa habari
huru lakini ni kwa dhamana kama umeangalia itv utakua umeelewa vzr japo mleta mada kasema ni kwa mauaji lakin itv wanasema ni kwa kutoa lugha ya matusi.Duh! yaani unaokota habari kwenye blog halafu unaiita 'BREAKING NYUZ!!!!!' mama kuwa sirias! breaking nyuz ni habari ya moto moto, mostly unakuwa wewe wa kwanza kuitupa hapa.Waitara yuko huru mtaani saa nyingi tu
Nimesoma just now toka blog ya *************** kuwa amekamatwa kwa mauaji yaliyotekea juzi hapo Singida, hii ni baada ya kumaliza mkutano na waandishi wa habari
hahaa kumbe na nyinyi mmepita pale wakuu? na mimi pia lakini enzi zetu za 2005 ndio ilkua last year o'level pale
Nimesoma just now toka blog ya *************** kuwa amekamatwa kwa mauaji yaliyotekea juzi hapo Singida, hii ni baada ya kumaliza mkutano na waandishi wa habari